Kweli huduma hii haipatika na sijui kama ni baadhi ya maeneo au ni nchi nzima, na hii ni matokeo ya kuumbuliwa mchana kweupe kwani walijitahidi Sana kutudanganya ya kuwa kuvunjwa kwa jengo la Tanesco haitoathiri shughuli zetu za kila siku kitu ambacho siyo kweli.
Na alaaniwe mwenye nia ovu ya kujaribu kuifungia Jamii forum, inaninufaisha mno, inautanua ubongo wangu vyema. Pongezi kwako uliyetuwekea huu uzi hapa.
Kwani ulilazimishwa kwenda huko kanisani kwake au ulilazimishwa kutoa sadaka!!? Kama hupendezwi na mahubiri upo huru kwenda kanisa au dhehebu lingine kama ulivyoanza kwenda kwake ila ushauri ambao utakufaa kulingana na akili zako we anzisha tu kanisa lako
Watu wengine sijui wakoje yaani alimradi tu ameweza kuwanyima wenzie haki, unavyosema tusiingize siasa kwenye hoja yako unakuwa hutendi haki Kwasababu hoja yenyewe ni ya kisiasa, anyway hebu niyaache hayo niingie kwenye point ya msingi, hivi unafikiri tatizo ni uchapakazi wa mtu au ni mfumo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.