Mna fedha gani nyie, wahisani wamejitoa ndio maana budget inayomalza muda wake imetekelezeka kwa 34% tu, Wahisani wamegoma kutoa mipunga yao kwenye nchi ambayo Wananchi wanashinda na njaa ila Faru Fausta anakula msosi wa Milioni 64 kwa Mwezi.
Baada ya kukosa hela za wahisani ndio wamepandisha...
Mnasonga mbele kwenye ndugu, ivi unalijua gape ambalo wakenya wametupga, wapo uchumi wa kati blazaa wakat ya kwako ni ya tatu uktoka Somalia na Sudan Kusini hehehee
Hzo si kazi za polisi jamani, kwani hajui majukumu ya kiti chake mpaka akaanze kukamata makontena, na polisi wanaolipwa mishahara kwa kazi hiyo sasa wafanyeje
Duh ama kweli tumepatikana watz
Mwakyembe is a bright man but kinachowaponza mawaziri wa kipindi wanafanya ambayo hata wao hawakubaliani nayo ili kumgurahisha Mzee Uchwara, au wanaiga style yake ya uongozi wa Mkurupuko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.