Ss vyura tumeambiwa na kocha wetu tutacheza mechi 3 ss hao bangi wasijfanye kiherhere kututoa mapema tutakua hutujatimiza malengo ya mwalim
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh me sna chakuongea ila tujue kuwa kuna sababu nying sna znasababsha hali hyo na hkuna mwanmke ambae anapnda kuzaa bila kuishi na baba wa mtoto wake na ukiona hda mwanamke ameamua kuwa single mother ujue kuna sababu mm na ww hatujui nn kmemkuta au kimewakuta wote kwa pamja
Duuuh ila mna roho mbay kuliko majmbazi kwann umpotezee muda mtu ukiwa huna malengo nae? Kuwen wakwel eti mtu ankwambia nkupnda kulko mama angu mzazi hlafu hyoyhyo baadae ankucha duu mungu awalaan wanaume Kwa dhambi hii haitawacha salama mbele ya mungu
Ndio halafu hta aibu hana mtu unkuta mwanumwe ana miaka 30 anasma hajawah kua na girl friend ndo ameanza kuvutiwa na ww kumbe ametelekza famlia yake kwakupnda kuchepuka yani hawa watachomwa hadi kope kwakuhadaa wanawake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.