Karibu tuchangie mawazo mbalimbali kuhusiana na ndoa kwa ujumla, je ni faida gani mtu anapata pindi anapo oa ama kuolewa iwe katika nyanja zote kiuchumi, kiafya, kijamii nk.
Sema tu labda wanaweza wakakubana kwa kutumia valued amount na wasitumie hyo uliyopokea lakini ni baada ya makato yako yote ndipo unapata faida ambayo inatozwa asilimia 10.
Capital gains income is calculated as follows: - Value of consideration received or accruing as a result of the realisation of the interest in land or buildings less cost of acquisition less expenditure incurred on any improvement to the asset less expenditure incurred wholly and exclusively in...
Hello, hope your great.
Am urgently lookig for a job, i have a bachelor degree of commerce in accounting and professionally am a CPA T. I have 2 years working experience in accounting and auditing.
Please contact through dm if interested.
Sincerely,
Shule e. (Female)
Sent using Jamii Forums...
Habari, naomba kujua mchanganuo wa biashara ya Ice cream za Azam ikoje. Ambaye anajua bei ya kununulia kiwandani kwa jumla na bei ya kuuza rejareja, sana sana zile za ukwaju.
Je ikitokea mtu ulie nae kwenye mahusiano akaenda kumtongoza mmoja wapo wa wanafamilia yako (family member tena close kabisa) ukajua then akakuomba msamaha utafanyaje?
Je utamsamehe na kuendelea nae na mahusiano au utamsamehe na kuacha mahusiano yaishe?
Kumbuka mahusiano yana miaka mitano...
Sidhani kama garama zitatofautiana sana na wanaoweka kwenye friji sababu sitakua natumia friji so garama ya umeme itapungua na ndio itaenda kwenye garama ya kuwalisha kidogo pindi wapo buchani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.