Recent content by Shukuru muyobhozi

  1. Shukuru muyobhozi

    Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

    Hawezi kujichukia, yeye yuko na CCM kwasababu sasa anaeongoza chama ni Muislamu Na hao ni DP WORLD Wanakusudia la kuunufaisha uislamu, pili yeye katoa maono yake tu kama Ambavyo Mbowe (ambae si mwanasheria) alitoka, wakati mwingine huwa mambo haya yanaenda na kasumba, kipindi cha Rais Mkristo...
  2. Shukuru muyobhozi

    Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

    Achana na magu, Baba wa Taifa aliasisi hilo, mzee Joseph Butiku ni mtoto wa kwanza wa kiume wa Mwl nae alikuwa Mtumishi mzuri tu hata Huko UK kuna ma prince
  3. Shukuru muyobhozi

    Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

    Mzee wetu BUTIKU yeye alikuwa msaidizi wa Rais kabisa, anyway huenda nyinyi mwajua zaidi
  4. Shukuru muyobhozi

    Uamuzi wa Mahakama kuhusu DP World umethibitisha mahakama zetu haziko huru

    Haya uliyoandika ndugu muandishi ni kweli yasikitisha lakini ni sawa na majuto jina la mjukuu, Mara baada ya muingereza kutupatia uhuru sisi waTanganyika ule usaliti wa kipumbavu uliofanywa na kiongozi wetu kwa jamaa zake ndio ulianza kuonyesha hii khatma unayolia wewe, Hivi hukusikia kuhusu...
  5. Shukuru muyobhozi

    Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam

    Wewe ndio Mpumbavu kutokukubali madhaifu yako, utaratibu wa Uwekezaji ni wa kawaida Duniani kote, huwezi kuwa huna uwezo wa kufanya jambo kwa ufanisi kisha ikapatikana room ya mtu mwingine kufanya kwa ufanisi kisha nawe ukanufaika halafu wakaza bichwa, Tumeleta makocha kwenye Nation Teams, tuna...
  6. Shukuru muyobhozi

    Watu wa Arusha kuanza kutumia jina Tanganyika badala ya Tanzania ikoje?

    Huenda wewe ni katoto kadogo, jina la Tanganyika limetumika sana na ile first generation ya Taifa, kama hukuwahi kumsikia hata babu yako akitumia jina Tanganyika basi wewe ni kitukuu Pr
  7. Shukuru muyobhozi

    Kuihusisha ACT na udini kisa imechagua siasa safi ni mwendelezo wa matusi kwetu

    Hawataweza maustadh wetu, wenyewe wako kumjibu Askofu Mbowe na Padre Lisu, nenda kafunue mafaili usome sababu ya Lipumba kuingia katika siasa za vyama vingi ndio utaelewa kwanini hawa jamaa ni Team jihad
  8. Shukuru muyobhozi

    Mume wa Spika Tulia kuwa Mkurugenzi EWURA, ni Mateso kwa taifa, Mafuta hayapatikani

    Wewe Endekeza Uchaga na Ugalatia mzee iwe ngoma draw
  9. Shukuru muyobhozi

    Mume wa Spika Tulia kuwa Mkurugenzi EWURA, ni Mateso kwa taifa, Mafuta hayapatikani

    Alipokuwa katika Bodi ya wakurugenzi hamkusema!! Hivi huko shuleni mlienda kusoma ujinga? Ni kweli umetazama sifa hana ya kuwa Mkurugenzi?
  10. Shukuru muyobhozi

    Mabadiliko TRA: Kamishna wa Forodha Mtanganyika Said Athuman Kiondo aondolewa awekwa Juma Bakari Hassan kutoka Zanzibar

    Tumienzi mwalimu, baba na Mtakatifu wa Taifa hili, kuusigina Muungano na kukisema chama alichokiasisi ni sawa na kuiponda "Legacy" yake... ZIDUMU FIKRA ZA MWALIMU
  11. Shukuru muyobhozi

    Kimuundo Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania ni Mfalme kwa nchi na wana CCM wenyewe

    Kwani Urusi viongozi wa kiafrica wamepanda coaster pia?
  12. Shukuru muyobhozi

    Tumalize Ubishi: Tundu Lissu nitajie IGA au BIT inayoeleza kutakuwa na HGA alafu bado inayoenesha kiwango cha uwekezaji na mgawanyo wa mapato?

    Lisu ambae alibwagwa mahakamani na Albert Msando? Hii nchi kwakweli Acha tu masisiemu yatawale milele ikiwa hawa Walokole wanaojiita mbadala ndio wako katika tope hili la upumbavu, inasikitisha sana huenda ukawa ni graduate wa chuo kikuu na bado akili yako ikawa imedumaa kiwango hicho, kuna...
Back
Top Bottom