saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,492
- 6,510
safi sana msaidie huyo mpumbavu, nani alimwambia jina Tanganyika halitakiwi kutumika. kuna watu ni wapumbavu hapa duniani huyu ni mojawapoHujui kuna wilaya ya Tanganyika?
safi sana msaidie huyo mpumbavu, nani alimwambia jina Tanganyika halitakiwi kutumika. kuna watu ni wapumbavu hapa duniani huyu ni mojawapoHujui kuna wilaya ya Tanganyika?
inaonekana we siyo mtanzania ndiyo unaokoteza vitu vya kijinga, hata hujui wilaya ya Tanganyika iko mkoa gani,Sijui, ipo Mkoa gani?
Acha uzuzu we kengeTanganyika .
Sasa tume anza kujitambua .
Kuna kibao kimeandikwa Kituo cha Polisi Magugu, Manyara , Tanganyika
Hata muite tangahela kama hakuna maendeleo yenye kuleta tija sawasawa na bure!Mkataa kwao...
Una ugonjwa wa akili. Tengeru ipo wilaya ya Tanganyika?Hujui kuna wilaya ya Tanganyika?
KataviSijui, ipo Mkoa gani?
Lakini Tengeru ipo Tanganyika, au hujui?🤣Una ugonjwa wa akili. Tengeru ipo wilaya ya Tanganyika?
Labda kama mnataka kutumia hii mada kisiasa otherwise neno "TANGANYIKA" limekuwa likitumika sana.
Bandari haina ugonjwa wowote ule bali itakodishwa kwa DP World baada ya mkataba na Ticts kuisha; hata ulie vipi haisaidii. Habari ndio hiyo🤣Siku nyingi sana magonjwa? Upo?
Tuletee chanjo ya ugonjwa wa mkataba wa bandari ndugu yangu
Usituletee habari za wavuta bangi humuHabarini Watanzania,
Kama umeitembelea Arusha siku za karibuni utagundua kuwa baadhi ya wananchi hasa wilaya ya Arumeru wanatumia jina la nchi kama Tanganyika na sio Tanzania.
Kinachoshangaza wanatumia katika mabango ya matangazo ya biashara na mengine ya utambulisho na yapo barabarani kabisa.
Hili inamaanisha nini? Je halichochei kuvunjika kwa Muungano kana kwamba Wananchi hao hawaitambui Zanzibar?
MFANO: Pale Tengeru kuna ubao mkubwa pembezoni mwa barabara kuu umeandikwa "KITUO CHA KUOSHEA KAROTI TANGANYIKA"
Sehemu nyingine katika duka la Pembejeo za kilimo pameandikwa:
.........AGROVET
S.L.P ....
ARUSHA, TANGANYIKA
Hakuna movement yoyote ya kujitambua ya watu wa Arusha kutumia jina Tanganyika. Labda kama kuna movement ya kisiasa inataka kuanzishwa na wanasiasa kwa njia ya kusema kuna movement, otherwise Tanganyika imekuwa ikitumika kwenye biashara za watu maeneo tofauti tofauti nchini.Kama kuna Zanzibar kwenye ndio, lazima Tanganyika pia ipo ingawa haitajwi kiwa mmoja wazazi wa mtoto anaeitwa Tanzania. Inaonekana wameielewa historia na wanajitambua.
Pia kuna ziwa Tanganyika🤣Shangaa hii, TANGANYIKA LAW SOCIETY, Chama cha madaktari Tanganyika, halafu kuna wilaya ya Tanganyika
Huenda wewe ni katoto kadogo, jina la Tanganyika limetumika sana na ile first generation ya Taifa, kama hukuwahi kumsikia hata babu yako akitumia jina Tanganyika basi wewe ni kitukuu PrHabarini Watanzania,
Kama umeitembelea Arusha siku za karibuni utagundua kuwa baadhi ya wananchi hasa wilaya ya Arumeru wanatumia jina la nchi kama Tanganyika na sio Tanzania.
Kinachoshangaza wanatumia katika mabango ya matangazo ya biashara na mengine ya utambulisho na yapo barabarani kabisa.
Hili inamaanisha nini? Je halichochei kuvunjika kwa Muungano kana kwamba Wananchi hao hawaitambui Zanzibar?
MFANO: Pale Tengeru kuna ubao mkubwa pembezoni mwa barabara kuu umeandikwa "KITUO CHA KUOSHEA KAROTI TANGANYIKA"
Sehemu nyingine katika duka la Pembejeo za kilimo pameandikwa:
.........AGROVET
S.L.P ....
ARUSHA, TANGANYIKA
Hahahaha.Pia kuna ziwa Tanganyika🤣