Recent content by shujaa

  1. S

    Treni ya SGR, Tukiamua kufanya Vitu vya Kisasa tuvifanye kwenye ukisasa wake

    Vile vile kituo cha SOGA Barabara yake inayotokea Kongowe ni mbovu kupita kiasi, Maana kituo hicho kingehudumia wakazi wote wa kibaha, Bagamoyo hadi Mbezi
  2. S

    Serious Mke anahitajika

    Mimi ni mwanaume, 44 yrs Nina watoto wawili Nimejiajiri kwa shughuli zangu binafsi hapa Dsm Dini yangu ni Mkristo , Mwanamke anaehitajika, Mkristo wa dhehebu lolote , umri, elimu na kabila so kigezo Cha msingi awe mcha Mungu, mwenye upendo na mchapa kazi , Kwa kufahamiana zaidi karibu PM
  3. S

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Natafuta connection ya mnunuzi wa mbao (hardwood) tunaweza fanya kama wabia
  4. S

    Natafuta rafiki mwanaume

    Please check me, kama upo serios
  5. S

    Natafuta rafiki mwanaume

    Please check me inbox
  6. S

    Niliyoyaona Kenya, Tanzania is better a million times

    Hebu tutolee upunguani wako hapa, umeenda Nairobi ukitegemea utapewa chakula cha bure kama ulivyozoea kugongea beer mitaani? Naamini kabisa ulikuwa unaishi River Road. Watanzania tuepukane na hizi kasumba za wivu wa kitoto, zimwi tunaishi nalo humu CCM
  7. S

    Ujio wa Rais Obama Kenya tuna cha kujifunza sisi kama Tanzania

    Tatizo Watanzania tumejawa chuki na wivu, mnaposema Wakenya ni wakabila mnasahau kwamba na Watanzania ni mapoyoyo tuluotawaliwa na mfumo wa chama kimoja had I Leo, Umasikini umekuwa sofa yet kuu Ukiangalia majirani zetu katika kumpokea Obama media zote zimeungana kuonyesha uzalendo wao na...
  8. S

    Fursa kwa Watanzania wanaolima Mboga wanaotaka kuzisafirisha Ulaya, Pitieni hapa

    Tujadili fursa tuache kumjadili Faizafoxy sio kila anachokisema ni kibaya jamani
  9. S

    Viongozi TPDC watiwa mbaroni kwa kuinyima PAC mikataba ya gesi tangu 2012

    Zitto nimemkubali, ndio aina viongozi tunaowataka, hata jamaa wakitolewa leo kwa dhamana msg imeshafika
  10. S

    Kitila Mkumbo: Kikwete mweledi pekee mchakato wa Katiba

    Ushauri wangu kwa wana JF tujitahidi kusoma na kuelewa maada kabla ya kukurupuka na kutoa kejeli, ina hitaji weledi wa ziada kusoma na kuelewa maudhui ya maandiko ya mwanazuoni kama kitila mkumbo
  11. S

    AG WEREMA aomba MSAMAHA KWA KAULI YA KIBAGUZI KWA WAZANZIBAR

    Zanzibar si ni Nchi na huko si ndio kwenu? Mnataka nini tena? Mkiambiwa serikali moja hamtaki. Kwa mara ya kwanza namuunga mkono Werema
  12. S

    Seif Sharifu Hamad anasubiri nini kujitoa?

    Seif Sharifu Hamad na viongozi wengine (CUF) waliopo katika Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, wanatakiwa kuwaunga mkono wana UKAWA kwa kujitoa katika hiyo serikali, Maana CUF na Sharifu ndio wameshambuliwa zaidi na LUKUVI kuwa ni UAMSHO. Kwa sasa Sharif aache tabia yake ya kuchochea mambo...
  13. S

    Mh. Joseph Mbillinyi familia yako inakulilia

    Sugu awe makini Faiza asije angukia mikononi mwa MWIGULU maana binti ni mrembo
  14. S

    Zitto Kabwe aunga Mkono Serikali 3 baada ya Hotuba ya Jaji Warioba Dodoma

    Tanzania ni Nchi inayojitegemea kutokana na aina wa Muungano wetu, hatuna haja ya kuiga hiyo miundo mingine ya "nchi nyingine duniani"
Back
Top Bottom