BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,323
- 7,895
Kila la heri mdau, Mungu akufanyie hitaj la moyo wako,
Nimeshangaa sana hata mimi aisee.Nimwanaume yupi miaka 40 ambaye bado hana mke
Ok!Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.
Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.
Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.
Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.
Asanteni.
Please check me inbox
Please check me, kama upo seriosMimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.
Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.
Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.
Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.
Asanteni.
Hahahahha bdo hajafika mpka 45 ndio ata undergo MENOPAUSEKama una 40 years utakuwa kwenye menopause stage
Wapo kbao tu masinia bachelor ...trust meNimwanaume yupi miaka 40 ambaye bado hana mke
Beathhenry tafadhali ni pm ili tuyajenge kwani na mimi nimechoka ubachelor
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 40 hauna mtoto kulikoni???nina 40 ila mtoto sina vp nnafaa?