Recent content by Shujaa Nduna

  1. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Sheria inasemaje kama mtu amepanda mahindi kwenye eneo langu akidhani ni pake. Nimemwambia ang'oe

    Pale ambapo mtu kavamia na kupanda mti katika eneo la nyumba (uwanja wangu) kwakuwa nasafiri sana. Hata baada ya kumwambia ang'owe akakubali atatoa au kuruhusu hata mimi nitowe lakini baada ya miezi5 hajatowa. Je, mimi niking'oa nitakuwa na kesi?
  2. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Ni sawa anayedhaminiwa Mahakamani kulipia fomu ya dhamana?

    Kuna sheria au utaratibu unaotaka mtu anayedhaminiwa mahakamani kulipa hela ya fomu ya dhamana tena kwa watuhumiwa wote.? Huyo aliyesema mahakama ya mwanzo songea.
  3. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Hali ni mbaya, waziri Bashe chukua hatua

    Mkoani Ruvuma mahindi yameshuka.1700,2000,2500dumla.Wanunuzi wa kg hawajaanza kununuwa.Heri bei ipande mana uzalishaji unagharimu.
  4. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Bila sadaka kwanza hupati huduma ya maombi ya Mtumishi Elisha Malisa. Je, tunanunua Huduma ya Kiroho?

    wote wanatanguliza pesa huoni wa mwamposa anasema wenye 5000,2,lak nk.Wahuni wote.
  5. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Walimu wamegeuza pesa ya chakula mashuleni kuwa posho zao wanajilipa

    Ungeeleza vema tungesaidiana kufatilia.
  6. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Waziri Ummy: Katika kipindi cha miaka 7 iliyopita hatujawahi kukumbwa na balaa la Kipindupindu!

    Mawaziri wengine hadi wajukuu wanawakuta bado wapo ofcn tu kama hakuna wengine.
  7. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Pamoja na Katiba mpya Rais Ruto apiga marufuku Maandamano, Chadema mna la kujifunza hapo!

    wananchi hususani mimi nimejifunza uongozi wa uoga uliopatikana kimagumashi unahofu sana.
  8. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Kigogo mmoja asema Ufanyike Uchunguzi mpya na Vyombo Vya Nje wa Ajali iliyomuuwa Deo Filikunjombe!

    Hawawezi kuumbuana wenyewe imesha hiyo.Mimi nimefika ktk jimbo alokuwa analiongoza bado wanampenda hadi mtu mzima na mtoto wameva tishet lenye jina lake,vikadi vya kuning'iniza kwenye gari na hata hospital ya wilaya mashuka yenye jina lake bado yanatumika.Nikaonana na baadhi ya wanafamilia...
  9. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya CAG: Mkulima kuwafungulia kesi vigogo Mwigulu, January, Kabudi na Mbarawa

    kila la heri anaonesha nia ya kusimamisha gogo lenye unene wa pipa peke yake.Ni vema aungwe mkono ingawa ndani ya nia yake kuna nia binafsi.(siasa)
  10. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Rais wa Rwanda Paul Kagame awasili Nchini na kufanya Mazungumzo na Rais Samia, leo Aprili 27, 2023

    Mama naye atatumia makachero wake.
  11. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Zanzibar yapiga marufuku matumizi ya nembo ya upinde wa mvua (Rainbow) mashuleni

    kwani rangi za upinde ndiyo ushoga au ushoga matendo?
  12. Shujaa Nduna

    JamiiForums Tanzania Mali za Cyprian Musiba zitakazopigwa mnada

    Safi
Back
Top Bottom