Mimi nipo MBINGA Mjini mtaa wa UZUNGUNI TOKA vibaka wamekata waya huu sasa mwezi 4 nimetoa ripoti Kwa fundi wenu haji na simu ya mezani KANISANI
Simu za kwanza mpaka mligawia watu wengine nashangaa.Mlinishawishi ninunue Ruta nimenumua situmii.
Nikilipia waya unakatwa fundi harudishi...
Mungu Alisha kusaidia ila hujamwona (Neno linasema atainua watu Kwa ajili yako Amemuinua mhindi kukutibu Kwa dawa alizoziumba Mungu
Mungu ndiye hutupa nguvu ya kupata UTAJIRI Hivyo afya uliyonayo ni Mungu kakupa
Hivyo Mungu kakusaidia Wewe hujui
Mimi ni mteja wa mda mrefu sana TTCL natumia sana simu za mezani.TTCL hawajali wateja kabisa nimenunua mpaka LUTA yao. Hawa TTCL wasipofundisha wafanyakazi wao kujali wateja,ni majanga tu.
Mimi ushauri wangu mheshimiwa Rais nchi yetu sasa hivi upo mgawanyiko mkubwa Sana. Ameanza na kuunda kamati za amani ili amani iwepo.
Tunaomba aunde kamati zitakazo toa elimu ya uzalendo ilk watu wapende nchi yao. Kizazi kilichopo sasa hakijui tilipotoka wanapotokea matapeli wa kuhujumu uchumi...
Hilo lipo maana siku narusha salio ili ninunue mda wamaongezi imekatwa nawapigia wanasema ulikopa mda WA maongezi nawauliza lini.
Najibiwa hawawezi kata Kama huna Deni.
Vodacom mmeniboa Sana wafanyakazi wenu wanawaangusha hawapo kikazi ila kimaslahi zaidi Tatizo langu toka mwezi 5 baada ya kuwatafuta viongozi wajuu Jana ndo wanahangaika yaani nimekerekwa kweli.
Ushauri katika menu yenu ongezeni kipengele kitakacho mwezesha mteja kuripoti mwenendo mbuvu...
Sisi ni watanzania kazi yetu ni kudakia vitu.flora mbasha kakimbia mumewe kaatamia mdogowake kama wewe ungekuwa mkewe ungefanyaje?yakusikia unatoa povu yangekukuta ungekuwaje?
Humjui kakobe wewe KAKOBE mhubiri wa kimataifa na hayupo kushindana na mtu. kama unaona yupo aliye zaidi ya kakobe safi.Ila kama yupo anayejiona yupo juu ya wenzake pole yake.sasa uliowataja walikuambia wenyewe au takwimu zako za vijiweni Neno linasema KILA AJIKWEZAYE ATASHUSHWA. Usiwapandishe...
Pole ndugu yangu shabiki wa kidini HERODI hakuwa mwislamu wala mkristo Unataka kutuambia KIKWETE yupo madarakani kwa niaba ya waislam? kabla hujaendelea kipambanue vizuri unawashawishi watanzania kuwa kikwete yupo kwa maslahi ya waislam Kakobe kama mtanzania haongei kwa niaba ya wakristo acha...
Tusijali sana huu ndio mwendo wa watanzania hata kwetu nyasa Matokeo yalitangazwa,wananchi wakiwa wameshika mapanga mashoka mawe marungu na wakamweleza anae tangaza. Ukitangaza tofauti leo mwisho wako.Askari wakamweleza kwa hili hatukusaidii. Mheshimiwa wa chama kaya alizimia wakamwagia maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.