Recent content by shujaa mjinga

  1. shujaa mjinga

    GE2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

    Ww kweli hamnazo kwahiyo kumfungia siku saba kwenu mataga imekuwa sherehe? Vipi lile roli la mkaa linaloenda gereji siku nane unalizungumziaje nayo ile ni adhabu? Mbona haushauri aendelee na kampeni muda huu ambao kufungiwa kwa lissu kwako imekuwa ahueni kupumzika spana. Msichojua mataga wengi...
  2. shujaa mjinga

    Hoja za Waitara - Je, CHADEMA watajibu?

    Kumsikilza na kumjibu mjinga ni zaidi apambane na hali yake huko
  3. shujaa mjinga

    Chadema kutumia watu wasiojulikana kutukana viongozi sio ustaarabu wa kisiasa

    Japo Chungu ndiyo yenyewe we vumilia ikuingie nyau wa kijani nyie
  4. shujaa mjinga

    Askofu Bagonza amnanga mkulu kimafumbo, soma kwa kifupi

    Wale akina nabii tito wanafanya ni? Au sababu mungu wenu kapigwa za uso? Tumia akili kufikiri hayo matako tumia kukalia Sent using Jamii Forums mobile app
  5. shujaa mjinga

    Baba Askofu Niwemugizi atoa neno zito, aonya kuhusu mikusanyiko misikitini na makanisani, asema kuiruhusu ni kuudanganya umma

    Akili yako ndiyo uwezo wako ulipoishia pole kwa wazazi wako wamefanyakazi isiyo na faida
  6. shujaa mjinga

    Sijafurahishwa na usomaji magazeti wa Maulid Kitenge kuhusu Mo Dewji

    Siyo lazima ufuraishwe kwa usomaji wake we mtafute kuna kitu atakufuraisha tu
  7. shujaa mjinga

    Ushauri kwa Dr Bashiru Ally; Migogoro ndani ya CCM haikubaliki

    Umesahau kuweka namba yako ya simu
  8. shujaa mjinga

    Aliyetimkia CCM afunguka na kutaja sababu za kuhama CHADEMA

    Ameshindwa kusoma upepo huyo hizi nyakati habari za kuhamahama sio issue tena. Sababu anazotoa solution yake siyo kuhama chama sababu hata huko aendako hizo safu za kugombea zimeshaandaliwa. Aangalie bifu la kangi na msiba ataelewa tatizo ni huko kujipanga na maandalizi ya ubunge. Kama anajua...
  9. shujaa mjinga

    Membe jipange, Mzee Makamba yeye hana tatizo kwa hali aliyonayo kwa sasa

    Fanya yako acha kufuatilia ya watu membe haitaji ushauri wako. Joinee huruma ww na kizazi chako
  10. shujaa mjinga

    Kugawa Kesi za Uhujumu; Alianza REO Iringa Sasa ni Msemaji wa Serikali

    Sasa hapa we mbulula unataka kusema nn? Mnajua nyie inzi wa kijani mnatia hasira sana?
  11. shujaa mjinga

    Mkulima wa Afrika kusini anasema alitonywa kwamba aondoke nchini au atakuwa "locked for ransom" je nani huwaomba hela walioko rumande ili waachiwe?

    Ushahidi wa nini we mbumbumbu? Kwani yule mkulima hadai? Lipeni kwanza hayo mengine baadae. Mmeshikwa pabaya mwaka huu
  12. shujaa mjinga

    Mkulima wa Afrika kusini anasema alitonywa kwamba aondoke nchini au atakuwa "locked for ransom" je nani huwaomba hela walioko rumande ili waachiwe?

    Tatizo lako nini? Ulitaka huyu mkulima asahau au asamehe deni lake? Kumbe nawe akili zako kama msiba
  13. shujaa mjinga

    Kesi ya Tundu Lissu sio ya kushangilia

    Kuwa kijana kama huyu ni hasara kwa wazazi ni bora kupigania ny........ to
Back
Top Bottom