Sijafurahishwa na usomaji magazeti wa Maulid Kitenge kuhusu Mo Dewji

mtekwaaji sikasema mwenyewe alivalishwa kanga sasa hapo kitenge anakosa gani angeongezea kwamba alivalisha na kitu kingine labda ingekuwa kasema uongo lakini kitenge kanuku maneno ya mtekwaji kama gazeti lilivyo nukuu
 
Lakini pia msomaji anasema Mo aliomba wamuue, swali limebaki utata nn alifanyiwa mpaka aombe kifo ?
Ukitafakari khanga na kifo unapata ukakasi sana wa yote yaliyotendeka.
Na tena walimuachia bila pesa yoyote. MMMHHHH ina maana boss..........................................?
 
Maulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.

Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Kitenge ni Yanga damu na Mo ni Simba. Watani wa jadi hao. Mtani kuvalishwa kanga lazima ataniwe.
 
Maulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.

Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Mbwe mbwe ndo mlo wake.
 
Maulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.

Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Huyo maulidi ni hovyo tu. Hajawai hata ck moja kuwa smart, au mbunifu...kananichefuaga mm
 
Dah nilijua ni mimi peke yangu kiukweli kile kipindi cha magazeti hakieleweki kabisa si yeye si zembwela

Sports arena iko vizuri
 
Maulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.

Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
ULISIKIA YA STEVE NYERERE huko efm
 
Maulidi Kitenge ambaye ni mtangazaji nguli, aache utani kupitiliza.

Eti watekaji walimvisha Dewji khanga, anauliza kwanini khanga? Ya wapi? Maneno kwenye kanga yaliandikwaje? Maulidi wewe kuna leo na kesho na ukitekwa wewe huenda hata wasikuvishe chochote.
Mo Dewji kadanganya
 
Back
Top Bottom