thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Nasema jipange,kuomba suluhu,au ukubali kunyong'onyea mdogomdogo mpaka pwaa!
Alieshika mpini achana nae kabisa ,kwa mfumo wa nchi yetu ulivyo hajawahi shindwa,utajiita kachero mbobezi elimu ya juu,lakini ubobezi wako ni bora tu unapokua ndani ya system,nje ya hapo ni masimulizi tu.Lowassa sio mjinga kujisalimisha,wewe komaa uone cha mtema kuni.
Vijana ambao ndio ilikua chachu yako wamepima kina cha maji wakaona kirefu,wanajisalimisha ,sasa wewe jifanye kidume .
unaujua unafiki wa watanzania,
Hata hao kina Bollen Ngetti ni wasaka fursa tu kwako,angalia mapambio yao yasije kukulevya ,kukusaliti ni kugusa tu,pia naamini rejea nyingi tu unazo kuhusu wasaliti nchini.
Siasa imejaa unafiki sana ,kusalitiana ni kugusa tu.na inasemekana kagenge kenu kote kanajulikana ,kitendo cha kujulikana ni kushindwa kwa mission.
Nimalize kwa kusema ,wakati ni sasa,tumia nafasi hii kuomba samahani kwa mwenyekiti wa chama ,si dhambi kufanya hivyo, usiogope kuwekwa hadharani,kwani kuweka hadharani ni kuondoa sintofahamu kwa jamii yenye tafsiri za kila aina kuhusu wewe na mwenyekiti ,
watasema yatapita.
Usije sema hukuambiwa,
Nalog off!
Alieshika mpini achana nae kabisa ,kwa mfumo wa nchi yetu ulivyo hajawahi shindwa,utajiita kachero mbobezi elimu ya juu,lakini ubobezi wako ni bora tu unapokua ndani ya system,nje ya hapo ni masimulizi tu.Lowassa sio mjinga kujisalimisha,wewe komaa uone cha mtema kuni.
Vijana ambao ndio ilikua chachu yako wamepima kina cha maji wakaona kirefu,wanajisalimisha ,sasa wewe jifanye kidume .
unaujua unafiki wa watanzania,
Hata hao kina Bollen Ngetti ni wasaka fursa tu kwako,angalia mapambio yao yasije kukulevya ,kukusaliti ni kugusa tu,pia naamini rejea nyingi tu unazo kuhusu wasaliti nchini.
Siasa imejaa unafiki sana ,kusalitiana ni kugusa tu.na inasemekana kagenge kenu kote kanajulikana ,kitendo cha kujulikana ni kushindwa kwa mission.
Nimalize kwa kusema ,wakati ni sasa,tumia nafasi hii kuomba samahani kwa mwenyekiti wa chama ,si dhambi kufanya hivyo, usiogope kuwekwa hadharani,kwani kuweka hadharani ni kuondoa sintofahamu kwa jamii yenye tafsiri za kila aina kuhusu wewe na mwenyekiti ,
watasema yatapita.
Usije sema hukuambiwa,
Nalog off!