Wasanii wengi hawana elimu juu ya tasnia yao,hawana professional ethics.Haya maadili ya kitaluuma yamebaki yanasisitizwa kwa manesi na walimu tu kwa sababu ya unyonge wao.
Hizi dini bila elimu twafaaaa,kwani kufunga ni kutokuka chakula tu, kutokuka ni ishara ndogo sana katika mfungo.Mtu ana vidonda vya tumbo anafungaje? Naupenda uislam ila sipendi matendo ya waislam waliowengi.Wanatumia vitisho zaidi kuliko hata maandiko yalivyosema.
If you want your woman to respect you,do the following
1.Give her money
2.Always giver her money
3.Dont go out without giving her money
4.Dont talk a lot ,give her money
5.If money finishes go and borrow more money and giver her.
Mtoto Hana hisia wala nin,ni maumivu tu na kupelekea mtoto kupata vidonda na kuharibika kisaikolojia.Sijui sisi wanaume tuna shida gani,ila nasikia wanaume wenye hizo kesi huko magerezani wameanza kuhasiwa kwa chemical hata wawo hajitambui.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.