Recent content by shonkoso

  1. shonkoso

    Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

    Hapa jamii forums ,kila kabila ni baya.
  2. shonkoso

    Azam media haina sifa ya kuidhamini ligi ya Tanzania

    Najiuliza hapa Uhuu ugomvi ya Azam na Chadema.,utaisha lini.
  3. shonkoso

    Video za ngono na wasanii ni ndugu?

    Wasanii wengi hawana elimu juu ya tasnia yao,hawana professional ethics.Haya maadili ya kitaluuma yamebaki yanasisitizwa kwa manesi na walimu tu kwa sababu ya unyonge wao.
  4. shonkoso

    Kuna haja gani ya muungano polisi kukamata wakristo huko Zanzibari wanaokula mchana?

    Hizi dini bila elimu twafaaaa,kwani kufunga ni kutokuka chakula tu, kutokuka ni ishara ndogo sana katika mfungo.Mtu ana vidonda vya tumbo anafungaje? Naupenda uislam ila sipendi matendo ya waislam waliowengi.Wanatumia vitisho zaidi kuliko hata maandiko yalivyosema.
  5. shonkoso

    Uchambuzi: Ni mjinga tu ataamini Simba wata droo au kuifunga Al ahly

    Mpka sasa mpira mtandaoni simba 5 _al ahly 0 Yanga 20 Sundown 0
  6. shonkoso

    Stori gani uliwahi kusimuliwa kuhusu mchezaji wa mpira kumbe 'kamba'?

    Drogba anakunywa lita 365 za Maziwa na Kuku 21 kwa siku 1 tuu
  7. shonkoso

    Nahitaji Msaada wa Ushauri kwenye uhusiano wangu

    Move on ana mtu huyu,though siyo rahisi
  8. shonkoso

    Kadri Mwanamke anavyokuwa mzuri ndio wasiwasi wa kuchapiwa unakuwa juu

    Wanawake wengi wazuri wana K mbaya mbaya tu,ila hawa wa kawaida ni hatari, Mungu hakunyimi kila kitu.
  9. shonkoso

    Pamoja na juhudi kubwa niliyofanya kufahamu lugha yao, msichana wangu Msandawe amenicha

    If you want your woman to respect you,do the following 1.Give her money 2.Always giver her money 3.Dont go out without giving her money 4.Dont talk a lot ,give her money 5.If money finishes go and borrow more money and giver her.
  10. shonkoso

    Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

    Mnatutisha jamani, sisi tunaowaz starlet now
  11. shonkoso

    Mwigulu ni kirusi kwenye soka letu

    My personal conscious tells me that Lameck,isn't a good person,nashangaa kwa nini anashikiliwa na mama hivi.
  12. shonkoso

    FT: Simba SC 2-0 Mashujaa FC | NBC Premier League | Azam Complex | 15.03.2024

    Simba hatuna furaha kabisaaa, hadi Chama kaanza kumsifia Azizi K.
  13. shonkoso

    Mitandao ya kijamii na namna inavyokula data

    Zote hapo kasoro jamii forums ndo sijwah uninstall na kuinstall tena baada ya miezi kadhaa
  14. shonkoso

    Ni nini hasa kinachochea ulawiti na ubakaji mtaani..

    Mtoto Hana hisia wala nin,ni maumivu tu na kupelekea mtoto kupata vidonda na kuharibika kisaikolojia.Sijui sisi wanaume tuna shida gani,ila nasikia wanaume wenye hizo kesi huko magerezani wameanza kuhasiwa kwa chemical hata wawo hajitambui.
  15. shonkoso

    Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

    Wamewaiga Tanesco nadhani
Back
Top Bottom