Recent content by Shomary47

  1. Shomary47

    JamiiForums Tanzania Naogopa kutapeliwa, nipo Iringa sina nauli ya kufikia dar hela niliyo nayo ni ya kununua PS4

    Wewe biashara huwezi Tangu Mwaka jana unaulizia tu mambo ya PS hutaki kununua wametokea watu wengi saana wanazo hutaki, Nadhani una utoto mwingi sana. Tangu mwaka jana unaanzisha nyuzi tu
  2. Shomary47

    JamiiForums Tanzania Ipi bora? Lipa namba ya CRDB/NMB au Lipa ya Vodacom/tigo?

    TUMIA VODA LIPA IKO VIZURI
  3. Shomary47

    JamiiForums Tanzania Video: The killer bus is on the move.

    ikitoka garage inarudi kupiga ruti, kudadeq
  4. Shomary47

    JamiiForums Tanzania KERO Makato ya M-PESA MasterCard ni kufuru

    Kuna TRA wako hapo mambo ya VAT
  5. Shomary47

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

    kimara Kimara
  6. Shomary47

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

    UZI WANGU PENDWA KABISAAAA [emoji108]
  7. Shomary47

    JamiiForums Tanzania Wafanyabishara wenzangu, hali ipoje huko mlipo? Mzunguko upoje?

    Habarini Jamani, Wafanyabiashara wenzangu vp hali ya biashara huko kwenu ikoje, mzunguko ukoje. Mimi naona tangu mwezi huu wa nane Mambo yamekua magumu sana, vp kwenu huko.
  8. Shomary47

    JamiiForums Tanzania Polisi mpaka sasa wananizungusha naombeni msaada

    Nunua vipya
  9. Shomary47

    JamiiForums Tanzania Nani muasisi wa kula mara tatu kwa siku?

    Uzi mzuri
  10. Shomary47

    JamiiForums Tanzania Ninunue Router ya 270,000 ambayo kila mwezi takua nalipa 70,000 ama Router ya 110,000 ambayo takua nalipa 110,000 kila mwezi?

    Hii ya 210,000 ndio ambayo monthly utakua unalipia 70,000 na unapata speed ya 10mbps. Vipi kwenye ufanisi wake wa spidi haisumbui, kwenye kazi za kawaida kuingia online whatsapp na kudownload files ndogondogo
  11. Shomary47

    JamiiForums Tanzania Ninunue Router ya 270,000 ambayo kila mwezi takua nalipa 70,000 ama Router ya 110,000 ambayo takua nalipa 110,000 kila mwezi?

    Habari wakuu, nina kiofisi changu, nataka kununua Router unlimited ya Airtel, ambapo wana categories, wanaanzia bando ya 70,000 kwa mwezi ambayo ni Unlimited na Speed yake ni 10Mbps. Ama nilipie ya 110,000 ambayo kila mwezi takua nalipia iyo 110k na Speed ni 20Mps. Naomba Ushauri, ili...
  12. Shomary47

    JamiiForums Tanzania Acha kukopesha watu hela

    Tafuta hela
Back
Top Bottom