Recent content by Shomary47

  1. Shomary47

    Ninunue Router ya 270,000 ambayo kila mwezi takua nalipa 70,000 ama Router ya 110,000 ambayo takua nalipa 110,000 kila mwezi?

    Hii ya 210,000 ndio ambayo monthly utakua unalipia 70,000 na unapata speed ya 10mbps. Vipi kwenye ufanisi wake wa spidi haisumbui, kwenye kazi za kawaida kuingia online whatsapp na kudownload files ndogondogo
  2. Shomary47

    Ninunue Router ya 270,000 ambayo kila mwezi takua nalipa 70,000 ama Router ya 110,000 ambayo takua nalipa 110,000 kila mwezi?

    Habari wakuu, nina kiofisi changu, nataka kununua Router unlimited ya Airtel, ambapo wana categories, wanaanzia bando ya 70,000 kwa mwezi ambayo ni Unlimited na Speed yake ni 10Mbps. Ama nilipie ya 110,000 ambayo kila mwezi takua nalipia iyo 110k na Speed ni 20Mps. Naomba Ushauri, ili...
  3. Shomary47

    Acha kukopesha watu hela

    Tafuta hela
  4. Shomary47

    SI KWELI Mama anayenyonyesha akifanya mapenzi anaweza kumdhoofisha (kumbemenda) mtoto

    Habari Wana jamvi, Nimekua nikisikia Kwamba, Kama ni mwanaume upo kwenye ndoa ama unaish na mwanamke na umebahatika kupata mtoto. Ukianza kutembea na wanawake wengine nje Mtoto wako Afya itaanza kunyong'onyea. Je, Kuna Ukweli Wowote Kuhusu hili. Naomba Ufafanuzi Mshana Jr GENTAMYCIME Robert...
  5. Shomary47

    Naomba kujuzwa Chimbo la remote za Tv jumla Kariakoo

    Nipatie namba yako, ama nicheki wasap 0714453664
  6. Shomary47

    Naomba anayejua chimbo la Tv za kichina Kariakoo anielekeze

    Habari wadau! Naomba kqa yoyote anaefahamu Chimbo wanapouza Tv Flat Screen kwa bei ya Jumla. Nazungumzia Brand za bei ya mtanzania kama Aborder, Sundar, Star X na Alitop. Ahsante
  7. Shomary47

    Naomba kujuzwa Chimbo la remote za Tv jumla Kariakoo

    Habari wadau, ! Naomba kqa yoyote anaefahamu Chimbo wanapouza Tv Flat Screen kwa bei ya Jumla. Nazungumzia Brand za bei ya mtanzania kama Aborder, Sundar, Star X na Alitop. Ahsante
  8. Shomary47

    Napata changamoto kwenye mfumo mpya wa kuomba leseni ya biashara

    Yani hata TRA kufanyiwa tax clearance haiitajiki tena, ukishaingia tu kwenye hiyo tovuti unajaza details, unalipia unapewa leseni?
Back
Top Bottom