Ivi ulipozaliwa ulianza kutembea na kwenda mbio au ulifinywa ukatoa makelele ya kulia ?
Sasa haya ya DPP ndio kwanza yamezaliwa ,haya si muujisa wa Nabii Issa Bin Marium kwa hapo hapo utaanza kutoa maneno tuseme faida .
Mbona mnatutia aibu kutaka faida ya papo kwa papo ,mna tatizo la kuuziwa...
Kwa kweli ameshindwa kuwasilisha au kuwakilisha alichokikusudia na badala yake anaelekeza kwenye kamati ya Raisi inayojihusisha na uteuzi ,ambapo hapa Gwajima amepaona ndiopo penye ukakasi wa wakuu wa ulinzi kwa ujumla wao kusitishwa kuendelea na uchunguzi utekelezaji au ufuatiliaji endapo kuna...
Msiseme alichangamka, mnashindwa kusoma tabia uso na vitendo ,labda kilugha tuseme amepazal hajui atendalo , Hebu mtafute wakili alietulia kwa pembeni uzungumze nae na zile clipu za Mheshimiwa Lisu umuoneshe kama hajaziona kisha mwambie akupe kosa lipo wapi ,hapo ndio utaona kama kuna tatizo...
Hakuna aljazeera wala alkinani jua linakuchwa jahazi la Chadema linazidi kuzama na msaada huo wa kusikiliza matangazo mwisho wa habari mtakuja kusikia matangazo ya kifo cha Chadema.
Ndio ninavyo baada ya habari kuna matangazo ya kifo na kwa habari za mjini Chama gani kipo mahututi na kimetupwa...
Mwaka huu ndio mwaka CCM itakapopata viti vichache maana ndio wakati wa kukiwasha kwenye kituo cha kura ikiwa wasiojulikana watafika kuteka kura na masanduku yake.
Mwenyekiti wa Chauma alisema hio na akawaomba wananchi wanaotaka kupiga kura wasione shida wajiunge na vyama vingine ,sikiliza vizuri anapozungumza. Siokoti habari za nchi za ulaya na aljazeera.
Yaani CCM inashinda kwa kishindo mwezi baada ya ushindi Mashirika yote ya kiserikali na yasio ya kiserika yarudi makwao hawa human right nao kwao .
Ikiwa wanatuona waafrica tumefanana au hatuna tofauti na wanyama hivyo warudi huko waliko binadamu. Hapa watuache na sheria zetu za misituni
Na...
Hakuna aljazeera wala Udaku jua linakuchwa jahazi la Chadema linazidi kuzama na msaada huo wa kusikiliza matangazo mwisho wa habari mtakuja kusikia matangazo ya kifo cha Chadema.
Ndio ninavyo juwa kuwa baada ya habari kuna matangazo ya kifo na kwa habari za mjini Chama gani kipo mahututi na...
Sasa joto limeanza kupanda vyama vinavoshiriki Uchaguzi vimeiambia CHADEMA kaa chonjo saa mbaya usitake kutuharibia na wengine tutapambana na wewe na tunaitaka CCM ikae pembeni hawa kama hawajafunzwa na mama zao watafunzwa na dunia.
Hawashiriki uchaguzi washike adabu zao na heshima zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.