Recent content by Shiwa

  1. S

    naombeni ushauri

    na mfanyakazi wa ndani
  2. S

    naombeni ushauri

    usiku nikilala ikatokea nimeshtuka jicho langu moja linatoa machozi mengi nikifuta yanaongezeka zaidi na haliumi lakin naona tu machozi yanamiminika kwa muda mpaka nikisinzia linaacha. na hii hali imekua ikijirudia. ni tatizo gani??
  3. S

    Sipendi kuona mume wangu anakosa hela, huwa nampa hela, je inatokea kwa wanandoa wote?

    ni vizuri unavyofanya ila usimwendekeze mwanaume wewe unampa au unajibana unatumia pesa zako mwenzio anaonga kwa mchepuko wake tena anampa hela nyingi tu.
Back
Top Bottom