usiku nikilala ikatokea nimeshtuka jicho langu moja linatoa machozi mengi nikifuta yanaongezeka zaidi na haliumi lakin naona tu machozi yanamiminika kwa muda mpaka nikisinzia linaacha. na hii hali imekua ikijirudia. ni tatizo gani??
ni vizuri unavyofanya ila usimwendekeze mwanaume wewe unampa au unajibana unatumia pesa zako mwenzio anaonga kwa mchepuko wake tena anampa hela nyingi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.