24hrs
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,624
- 5,947
na wew nenda umekatazwa kwani..watu selfish wanakimbilia pm
na wew nenda umekatazwa kwani..watu selfish wanakimbilia pm
PoaAcha uongo na utapeli kijana...idea gani hiyo ambayo unashindwa kuiweka hapa...unajuaje watu wanaomzunguka yeye sio kama hao wanaokuzunguka....wewe ni mungu????
Kubeti nilibet Sana na nikaliwa Sana, so sitamani.....Kalibu betting
Du mbona sehemu nyingi tu Labda uzungumzie qualityhivi zile chupi wanazouza 1000 kule kariakoo zinapatikana wapi kwa bei ya jumla?
Karumehivi zile chupi wanazouza 1000 kule kariakoo zinapatikana wapi kwa bei ya jumla?
Ni mtumba au dukani??Karume
brain is the beautiful part of the body.
Hellow habar mkuu nimesoma na nikavutiwa na ushauri wako sijui unapatikana wap au u a numberKwanza Pole kwa changamoto za kubezwa nabaadhi ya wadau humu Sijui nao huwa
Hawaombi ushauri Binadamu nikama ibilisi wa binadamu mwenzie anapenda anavyo vifanya yeye viwe sahihi kulilko la mwingine
Is not fear
Naenda kuku shauri mkuu kama unaweza wekeza katika mifugo hasa ya kuku wa nyama utaingiza zaidi ya pesa hiyo ukitaka ushaur zaidi pm
Nautatengeneza ajira pia kwa wengine
Chuj upo wapi nataka mkaami nafanya biashara ya mkaa,join na mimi nikuletee,uuze au umweke mtu auze,kama huwezi nanunua mzigo nakulllllllllletea unauuza kkwea jumla,Mkaa mpaka ufike hapa unakuwa umecost 28000 per bag,Ukiuza hapa dar unauza kwa tsh 37000 per bag,hiyo ni whole sale,,,,retail ni 40000 up to 45000 per bag,,nina kibali kabisa,,,Au kama uko ruaha tafuta shamba kama heka moja,lima vitunguu.Lima kwa kisasa,heka moja ukitumia vibarua na ni umwagiliaji unapata bag 50 mpaka 90 or 100 bag,,ukiuza kila bag sh 60000,unapata kuanzia 3m ,5m to 6m,,hiyo ni ndani ya miezi mitatu,,unakua umevuna
Nipigie 0657316399mi nafanya biashara ya mkaa,join na mimi nikuletee,uuze au umweke mtu auze,kama huwezi nanunua mzigo nakulllllllllletea unauuza kkwea jumla,Mkaa mpaka ufike hapa unakuwa umecost 28000 per bag,Ukiuza hapa dar unauza kwa tsh 37000 per bag,hiyo ni whole sale,,,,retail ni 40000 up to 45000 per bag,,nina kibali kabisa,,,Au kama uko ruaha tafuta shamba kama heka moja,lima vitunguu.Lima kwa kisasa,heka moja ukitumia vibarua na ni umwagiliaji unapata bag 50 mpaka 90 or 100 bag,,ukiuza kila bag sh 60000,unapata kuanzia 3m ,5m to 6m,,hiyo ni ndani ya miezi mitatu,,unakua umevuna
duh
Ukimpata mwambie na Mimi nahitaji mkuu.