mtoa maada waache wafanye shughuli inayowaingizia pesa ya kutosha, usiwalazimishe kufanya shughuli ambayo haina faida, kama wasingekuwa wanafaidika wasingeendelea kuifanya hiyo kazi, mlizoea kuwanyonya mkombozi wao amekuja amekuja.
hivi huyu kanji anamatatizo gani, toka jumapili mechi ya layo vallicano ilipoahirishwa hadi leo hii pesa yangu sijapata, kila nikiwasiliana nao wanasema 24 ours nitapata fedha yangu, mpaka sasa wadau sijapata chochote, wakati walisema wazitoa odd za timu iliyoahirishwa zinazobaki wazitume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.