Ninakumbuka kitu kimoja
"Uaminifu katika maisha ni jambo la muhimu sana maana kila utakacho sema ni ukweli, wala hauta pata shida ya kutaka kukumbuka ulisema nini mwanzoni ili visije vika tofautiana....."
"....uaminifu ndio mtaji mkubwa sana wa masikini ambao akiutumia hata baki kama alivyo... "
Tukumbushane kwa maneno ya wazee wetu,
Vitu brand vya busara nini Baba.
Babu yako au mtu yeyote yule alikwambia neno ambalo hadi leo unalikumbuka na linakusaidia hadi kesho.
Hongera Mungu akusaidie, umebakiza tu kuokoka tujiandae na safari ya kwenda Mbinguni.
Ukaonane na mjuba Rutu na msela wake Nuhu walioona ufuska na ufirauni zaidi ya sisi
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hapo unaongelea mtu mwenye uhakika wa kupata elf 10, kwa siku kwasababu kupika inamaana unatumia hela nying mwanzon baada ya hapo full bata unajkadria mwenyewe kulingana na uwezo wako wa life.
Kama una kilo20 mchele[emoji39], unga klo 10[emoji12], dagaa del 1[emoji51], na kahela ka mboga...
Hivi hua kuna procedures gani za kufuata wakati wa kununua spare parts za magari au gari ambalo liko juu ya mawe ili ni dismantle au kuchukua body yake.
Kwaajili ya kuuza badae ambapo itahitajika kwa mfano kama utakua na duka la kuuza spare parts, kwa hapa Tz sheria zikoje .
Mwenye anafahamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.