Recent content by Shinji_

  1. Shinji_

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Numbisa kama ka mchezo hivi nimejikuta nasoma kuanzia mwanzo hadi mwisho, Mungu wa Mbinguni akubark kwa message zako nzur.
  2. Shinji_

    Neno uliloambiwa na unalikumbuka hadi leo na linakusaidia

    Thanks all mlio reply, nimejifunza vingi Kw kusoma mlicho ambiwa na kukisikia pia [emoji120][emoji122][emoji122][emoji122]
  3. Shinji_

    Kuna mdada kanitongoza ilikua hivi..!

    Kuna cha kujdai bac upuuz tu [emoji23][emoji23][emoji23]
  4. Shinji_

    Kuna mdada kanitongoza ilikua hivi..!

    Ulitongozwa au mme alkuja kwa B dady ako akamwambia anataka akuoe, ucjb kabla hujaelewa.
  5. Shinji_

    Uzi maalumu mtafute member aliyopotea

    Napitia tu reply nione nani alimpenda member wa jf akashndwa kum pm wayajenge [emoji23]
  6. Shinji_

    Neno uliloambiwa na unalikumbuka hadi leo na linakusaidia

    Ninakumbuka kitu kimoja "Uaminifu katika maisha ni jambo la muhimu sana maana kila utakacho sema ni ukweli, wala hauta pata shida ya kutaka kukumbuka ulisema nini mwanzoni ili visije vika tofautiana....." "....uaminifu ndio mtaji mkubwa sana wa masikini ambao akiutumia hata baki kama alivyo... "
  7. Shinji_

    Ununuzi wa spare parts ukoje kwa Tanzania?

    Na ukikumbana na kitu cha wizi [emoji55]
  8. Shinji_

    Kuna mdada kanitongoza ilikua hivi..!

    Shinji_ !, jaman, mbona hivyo, nilizoea ulikua unapita kweny mtaa wetu unanipa Hi!, lakini sikuiz sikuoni mbona kmya hujui tu mwenzio nnavyo teseka. Fanya leo tu hedmiaway inkdimun lbh dhesxv. Aaaa unakera hata hujasoma sentence iliopita siendelei sasa. ![emoji23][emoji23][emoji23]...
  9. Shinji_

    Neno uliloambiwa na unalikumbuka hadi leo na linakusaidia

    Tukumbushane kwa maneno ya wazee wetu, Vitu brand vya busara nini Baba. Babu yako au mtu yeyote yule alikwambia neno ambalo hadi leo unalikumbuka na linakusaidia hadi kesho.
  10. Shinji_

    Jana nimeacha rasmi kununua dada poa

    Hongera Mungu akusaidie, umebakiza tu kuokoka tujiandae na safari ya kwenda Mbinguni. Ukaonane na mjuba Rutu na msela wake Nuhu walioona ufuska na ufirauni zaidi ya sisi [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  11. Shinji_

    Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

    Niliwahi lazimisha Mungu tu akae maishani mwangu na akanibadr na upuuz wang, Hayo mengne situmiagi
  12. Shinji_

    Gharama za kula kwa mama ntilie ni ndogo kuliko kujipikia

    Hapo unaongelea mtu mwenye uhakika wa kupata elf 10, kwa siku kwasababu kupika inamaana unatumia hela nying mwanzon baada ya hapo full bata unajkadria mwenyewe kulingana na uwezo wako wa life. Kama una kilo20 mchele[emoji39], unga klo 10[emoji12], dagaa del 1[emoji51], na kahela ka mboga...
  13. Shinji_

    Ununuzi wa spare parts ukoje kwa Tanzania?

    Hivi hua kuna procedures gani za kufuata wakati wa kununua spare parts za magari au gari ambalo liko juu ya mawe ili ni dismantle au kuchukua body yake. Kwaajili ya kuuza badae ambapo itahitajika kwa mfano kama utakua na duka la kuuza spare parts, kwa hapa Tz sheria zikoje . Mwenye anafahamu...
Back
Top Bottom