Recent content by ShilohD

  1. S

    Wana CCM mliopo Arusha na Kilimanjaro semeni ukweli mikutano ya Magufuli

    kweli kaka kama mkutano wa juzi wa arusha walitumia hela nyingi sana kubeba watu na malori wengine walilala uwanjani wameondoka jana.
  2. S

    Kwa mara ya kwanza nimeona mgombea wa CCM kaongea kitu cha maana

    huu siyo mwaka wa ahadi,hizo ahadi wanapaswa wazitoe wapinzani,ccm walipaswa watuelezee wamefanya nn na wameshindwa wapi na kwasababu gani,ili tuone kama kweli wanastahili kupewa kura vinginevyo wanapoteza muda wao.
  3. S

    Rais Kikwete anavunja Baraza la Mawaziri lini?

    msiumize kichwa vichinjio simnavyo?ikifika siku nikuwachinjia baharini
  4. S

    Hujuma dhidi ya UKAWA kuelekea Oktoba 25, kuwa wa Kwanza kujua

    wanaapigana vita vya kiroho,kwa nguvu ya mwili wamechelewa,mwaka huu ccm wataona nguvu Ya Mungu ikifanyakazi.
  5. S

    Askofu Gwajima amuonya Abdalah Bulembo na CCM waache kumchokoza mara moja!

    Gwajima usimjibu yeye mwenyewe hajielewi msamehe kafikaje hapo kwa elimu yake
  6. S

    Ushiriki wa Dk. Wilbrod Slaa kwenye chama cha ACT-Wazalendo

    unajua ccm wanapaswa kujua kuwa,watu wanataka mabadiliko wamechoshwa na story zao,kiufupi hatuitaki ccm hata asimame OBAMA hatutarudi nyuma.tunasubiri siku tukafanye yetu
  7. S

    TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

    umesema ukweli,lazima watu wajue ajari ni ajari,mengine anayajua yeye na mungu wake
  8. S

    Majibu ya Zitto juu ya shutma za kuhujumu CHADEMA

    Zitto naomba ujue kuna watu wanaomba mungu kwa ajiri ya ukombozi wa nchi yetu sasa wewe jifanye unataka kutuvuruga lazima ujue mambo yako yote yako peupe acha ujinga,hivi wewe unafikiri kushangiliwa bungeni ndiyo sifa ya kuwa raisi?muliyo teta na jk yanajulikana shauri yako.
  9. S

    Mwanamke: Je, utamjuaje mwanaume anayetaka kukuchezea tu?

    Umeongea mambo ya maana sana sister langu.kwani unafaa kuwa mshauri wa mapenzi. Lakini kuna wanaume huwa wamepanga kuoa lakini wanagundua kuwa mdada aliyempenda hana sifa za kuwa mke,bac anaamua kuachana naye.
  10. S

    Shemeji yangu huyu ananitega!

    Inaonyesha kuwa unapepo la ngono unahitaji maombi
  11. S

    Haya ndiyo matokeo ya kukimbia shule, masikini CHADEMA...

    Nnape naomba aelewe kazi moja ambayo wananchi waliipa serikali ya chama chake nikusimamia rasilimali za nchi nakuhakikisha zinamnufaisha mtanzania siyo kuvua gamba sijui kutoitana waheshimiwa na mengineyo ambayo ndiyo wanayoyafanya sasa hivi twiga anaweza kukizwa kwenye ndege na kwenda kuuzwa na...
  12. S

    Side comments: Zitto in JF Exclusive Interview on the 22nd of November, 2012

    Kwanza napenda kukupongeza kwa uamzi uliouchukua wakutangaza nia ya kugombe urais kupitia chadema mwaka 2015, hilo nijambo zuri na ni haki yako kikatiba lakini wasiwasi wangu usije ukawa umetumwa kwani mbona umeshatangaza kutogombea ubunge manake unauhakika utapishwa kugombea au umeshaunda...
Back
Top Bottom