Recent content by shilatu

  1. S

    DOKEZO Hospitali ya Bugando, Mwanza ina huduma mbovu sana kwa wagonjwa

    Ndugu zangu, kama umewahi kupeleka mtu yeyote mgonjwa utaniambia hiki nilichoona mimi ni sawa ama si sawa. Nilisindikiza rafiki yangu mwaka Juzi aliuguliwa mtoto mgongo wazi kufika pale ikawa huduma mbovu huduma hadi umpatie rushwa daktari ndio ahudumiwe, bahati mbaya sana mtoto akafariki...
  2. S

    Natafuta mashine ya kutotoleshea kuku

    N Pm Nakupataje
  3. S

    Natafuta mashine ya kutotoleshea kuku

    Huna yenye bei ya chini zaidi
  4. S

    Natafuta mashine ya kutotoleshea kuku

    wadau najua wengi mnauelewa wa machine ( encubetor ) yenye kuweza kumudu mazingira ya kitanzania kwa maana ya umeme kukatika katika na nahitaji pia kupewa bei inauzwa shi ngapi na inachukua mayai mangapi na maelekezo yote Nipo mwanza, sengerema wilAyani
  5. S

    Kipindi cha Take One cha Clouds TV hakifai kwa maadili, kinatangaza Ushoga

    Hosea 4:7 "The more they increased, the more they sinned against me. I will change their glory into shame" says the Lord Clouds TV wamepanuka na kuvimbiwa pride and glory. Sasa mkono wa bwana na hasira yake ni kubwa sana. Kitendo kile cha kumleta MTU yule kuitia najisi (defile) Tv hiyo...
  6. S

    Imani bila matendo ni bure

    Mighty kwa kiswahili ni Hodari au shuja
  7. S

    Imani bila matendo ni bure

    Tanzania ni kubwa kuliko Rwanda lkn kuna resources nyingi kuliko population through that concept kukitokea full utilization ya resources zetu Rwanda itakuwa mbaya kuliko tz... Tunahitaji standing firm leader(s) kama huyu Hodari ngosha JPM ili kufikia malengo
  8. S

    Imani bila matendo ni bure

    Think out of the box...The system was corrupted he is in need to amend the way...lkn tatzo watu wengi hawataki changes na wengine wapo ktk transition ya kubadilika lkn elewa KTU. Wengi vbaraka wa ubeberu na ubepari wa nataka kumkwamisha mh. Rais lkn elewa mm sio pro ccm au chadema I used to hate...
  9. S

    Imani bila matendo ni bure

    Kama unaamini hvo sio mwana ccm means to say ni kwa ajili ya watanzani ndo maana anasema tumuombee hayupo kwa ajili ya ccm wala cdm wala cuf ni zawadi yawa tz. Kwa minajili hyo basi ndie chosen one wa maendeleo ya watz kwa hl taifa..
  10. S

    Imani bila matendo ni bure

    Sio kwa ngosha JPM
  11. S

    Imani bila matendo ni bure

    Hicho cheyo the might JPM nimemtunuku kwa aina ya nguvu ya kupambania hii nchi bila woga na kwa utashi wake...unajua ushauri mwingi utampoteza Mr. Presda bora HVO hvo
  12. S

    Imani bila matendo ni bure

    Jamaa anajua anachofanya mm na amini hlo
  13. S

    Imani bila matendo ni bure

    Mtume Paul moja kati ya wafuasi (disciple) wa Yesu kristo alisema.. Hata uwe na imani ya kuhamisha milima bila matendo ni kazi bure... Rais Paul Kagamewa Rwanda kipindi anaingia madarakani miaka mitatu ya awali alichukiwa sana na wananchi wanasiasa (siasa uchara) wahijumu uchumi wa nchi ya...
  14. S

    Tatizo gani nitapata nisipoenda JKT baada ya kuchaguliwa?

    Jkt ni kuharibu viongo vya siri vya mabinti.... Kuna dem mmoja nafanya nae kazi sura ni mzur ila anaongea matusi hadi sura unaona imrchachuka kisa JKT. Mm naona madem wasiwe wanaenda kwakwel
Back
Top Bottom