Recent content by shikuengere

  1. S

    JamiiForums Tanzania GE2020 Diplomasia ya Uchumi kumbeba Magufuli Uchaguzi wa Urais Oktoba 2020

    Wengine akili zetu haziendi mbali na tulipo, tukishiba wali na ndizi mbivu msibani mtaani kwetu, tunaomba utokee Tena msiba mwingine mtaani! Lakini unaweza kuwa ni wewe. Huu siyo mchango kwenye hoja iliyotolewa Ila ni kuhimiza Wana jf kujibu hoja kwa makini kwani zinahusu maisha ya wananchi.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini mji wa Moshi (Kilimanjaro) haubadiliki miaka nenda rudi?

    Natamani hii ingefanywa Kama tafiti ya kisomi ili kupata majibu sahihi yatakayosaidia eneo la mtoa mada. Vilevile na maeneo mengine ya nchi yetu. Dunia hujifunza kwa makosa na mapungufu. Naomba kuwasilisha.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Silinde na Lijuakali wajifunge 'speed governor', wanakwenda kasi sana

    Kwa umri wangu Hawa vijana siwaelewi. Nakumbuka wakati tuko jeshi la kujenga taifa miaka ya 70,jioni kulikuwa na kipindi Cha nyimbo. Wakati tuko kwenye hicho kipindi mwenzetu mmoja akapiga mruzi. Afande alikasirika sana na kututaka kumtaja aliyepiga mruzi la sivyo atatuadhibu. Kati yetu hakuna...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mbowe ujue leo ingekuwa siku ya 42 tangu tufungiwe ndani!

    Mkuu mjulishe kwamba moja ya sababu za taifa la Israel kupiga hatua kubwa Kwenye nyanja nyingi ni msemo wa kuwa "You don't have to kill me if
  5. S

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kusipokuwa na uchaguzi wa kuchagua Rais kuna haja ya kufanya uchaguzi?

    Kura halali na haki ni kigezo muhimu cha kupima kazi Nzuri aliyoifanya kiongozi. Naunga mkono hoja yako.
  6. S

    JamiiForums Tanzania UNDP: In the long run, COVID19 will have significant risks to sectors in Tanzania especially tourism

    Kwa mtindo huu wa kuchangia hoja inakuwa vigumu kupata elimu toka jamii forum!
  7. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA badilikeni, kesi mahakamani hazitawapa kura. Mtaishia kumwaga lawama kwa kila ahusikaye na kesi zenu

    KweQUOTE="Karibu Sana, post: 34748856, member: 587442"] Noma[emoji1][emoji16][emoji2960] Sent using Jamii Forums mobile app Kweli kabisa P!?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Dotto Bulendu amchambua James Mbatia

    Hiki kilugha sijakielewa vzr. Ila kwa mbali naona tafsiri fulani yenye changamoto kwa mh muhusika.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Profesa J atikisa Mikumi

    Wingi wa watu ukiwa upande fulani wanabatizwa kuwa wapiga kura. Laki wingi ukiwa upande mwingine hao siyo wapiga kura!
  10. S

    JamiiForums Tanzania Vurugu: Mkutano wa Mbowe wavamiwa Hai, Green Guard na OCD wahusishwa

    Hata kama ni wawili mradi uwe mkutano halalii kisheria.
  11. S

    JamiiForums Tanzania JWTZ mpo wapi? Zuieni watu kujiita Makamanda

    Chukua kamusi kama unayo na utafu
  12. S

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema akipata ubunge Arusha nahama nchi

    Mleta mada hapa hata sielewi andiko lako. Nilitegemea kupata hoja za msingi kutokana na utendaji wa mh. Lema ili zitumike kama kipimo cha kutochaguliwa tena na wananchi wa jimbo lake. Tuletee hoja siyo porojo.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?

    Mleta mada! Hakuna mchezaji na mfungaji mzuri wa magoli kama mtazamaji.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Uchaga na ukabila hautusaidii, tujifunze sisi watu wa Kanda ya ziwa

    Kwa mazingira watanzania tunayoishi nayo mitaani na kwenye makazi yetu, binafsi naona huu mjadala hautuhusu. Labda niwe sijaelewa.
Back
Top Bottom