pole dogo nichangamoto ambazo ili ufanikiwe lazima uzipitie.usikate tamaa ni mapema sana halafu ni dhambi vilevile kukata tamaa. Jaribu kutafuta sponsor japo huwa ni ngumu ila kuna watu wanafanikiwa.jaribu ku-google DAAD na kama mkatoliki jaribu KAAD.
wewe ndio muongo na mpotoshaji wa kutupwa,kama unalo ongea huna uhakika nalo ni bora uulize wahusika ukaelimishwa kuliko kuongea kiti kwa msisitizo wakati ni uongo, doctors kama watu wengine walio kopeshwa wanatakiwa kulipa kila kitu walicho kopeshwa, hiyo kusema wamesomeshwa bure,au hawalipi...
Hongera kwa kupata ujauzito.ila pole kwa kuwa na wasiwasi kwa hiyo hali,kwa kawaida hasa kwa ujauzito wa mara ya kwanza mtoto huanza kucheza week ya 16 hadi 20,lakini kwa ujauzito wa pili au zaidi huwahi week 2 au 3Kabla ya week ya 16 na kwa siku za kwanza huwa hawi active sana,kwa hiyo usiogope...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.