Recent content by SHIJA12

  1. S

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Mmh mimi nashagaaa kusema nimkutano wa wazee wa dar mbona kuna vijana wangi snaa bas tusema mkutano wasiasa tu wengine wamevaa kijani yaan ccm halafu mkuu wa mkoa anatoa matokeo ya chaguz nakukisifu chama cha maccm hahaha hii ni kwa tanzania pekeee
  2. S

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Kwa hutuba ya leo wanaume tumeigizwa choo cha kike na wakike wameigizwa choo cha kiume hahahaha hii ni kwa tanzania pekeeeee
  3. S

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    aisee kwel hali hii kaz tunayo yaan rais msanii kaz kucheka cheka tu
  4. S

    UKAWA wataomba kuitishwa tena kikao cha TCD kubatilisha maamuzi ya awali

    Hii nchi watu wake baz sio baz tulio wegin hatuna akil timamu ndo maana hata nchi yetu masikin hata sisi wenyewe hatujuwi kwann ni masikin ni kwa sababu ya ujiga wetu kama huu wa kina sitta wanafanya uhuni sisi tupo tu kama hatu vile yaan watanzania ni mataira tulio wegi ndo maana hatuna hata...
  5. S

    Mnyika: Maharamia wamefanya uharamia kupitisha Katiba Haramu

    Sisi wala hatuna wasiwasi maana si wamejidaganya waka zan na sisi wametudaganya sasa tupo nyumba moja tutaedelea kuwapa elimu wananch hasa vijijin wawa katae
  6. S

    Mnyika: Maharamia wamefanya uharamia kupitisha Katiba Haramu

    Maccm yataiba sana kura lkn mwisho wasiku hawatashida sisi tupo na mungu na wao wako na shetan maana wamediriki kuchakachuwa rasim ya katiba adi kura za wabunge basi hao tuwaweke kudi gani bila shaka la shetan. Sisi tuna simamia maon ya wananch ndo tupo na mungu daimaaaaa
  7. S

    Vimemo vya Sitta kwenye Bunge Maalumu la Katiba vyatikisa kwenye mitandao

    Mm binafs nina was was matokea atakayo ya tagaza maana jamaa atahakikisha amechakachuwa hata za wale walio piga hapana akizifanya za ndiyo na kujarbu kutuaminisha kuwa walio piga hapana baada ya kamati ya maridhiano waliewa nakubadilisha kura nakuwa za ndiyo na wale wa wili walio tishiwa...
  8. S

    Namkataa Paul Makonda, sijamtuma Bungeni

    Yaan ameniudhi sana gamba kabsa
  9. S

    Namkataa Paul Makonda, sijamtuma Bungeni

    Hehehehe anaitwa anakonda kwetu nimnyama pori et vijana wenye akili timamu yaan ili jamaa lishaba kwel au ana dhani sisi ni washaba kama yeye mdomo kama ananyonya ubuyu wee
  10. S

    Mahakama ya kadhi ndani ya Katiba - Tanzania

    Watawala watanzania wanaraha sana kwa sabau asilimia kubwa wanaowaogoza niwajiga ndo maana wanafanya wanavyopenda maana hakuna wakuwauliza na wenye uelewa niwachache wamekuwa wakijarbu kupaza saut wananyamazshwa maana niwachache sana. Ombi langu wananch tuugane pamoja tuukatae uonevu huu wa watala
  11. S

    Star Tv mmenikera sana mimi mtazamaji wenu

    Mwenyewe waliniuzi sanaa halafu huyo mchango walikuwa nampa mda mrefu kueleza uogo wake pumbavu kbsa
  12. S

    Polisi wamshughulikie Mchange katika mambo haya 10...

    Kijana jaa nying sna halafu eti vijana wanafuu kuwania urais hahahaha bado snaaa kama ndo vijana wenyewe tunatumika ka condom halafu tunapotea kisiasa bado snaaaaa
  13. S

    Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

    Hahahaha mchanga mchanga si ndo jina lake eee huyu jamaaa nipumba kbsa tamko lenyewe kaadaliwa naye kalipost kama lilivyo eti vijana wanafaa kuwania urais ndo hiv hahahaha bdo sana
  14. S

    Bunge la Katiba Kuahirishwa

    Kwa maccm hilo swala ni gumu snaa
Back
Top Bottom