Recent content by Shigombola

  1. S

    TCRA mmeamua kuuza utu wetu kwa wahuni wa App za mikopo mtandaoni

    Hii mimi nimeipenda, nataman kusikia na niko tayar kufuatilia mwenendo wa kesi hiii itakuwa fundisho kubwa saana
  2. S

    Kikwete amteua Mwandosya kuwa Mkuu wa Chuo MUST

    UNATAKA KUMFAHAM KWA KAZ ANAYOIFANYA,AU CV YAKE? Ingiza jina kamil google then utamjua n nan hapa bongo hasa SUA.
  3. S

    IKULU yawashukia Jaji Warioba na Gazeti la Raia Mwema (la Jumatano April 2, 2014)

    HILO NALO NENO, Wenzetu wameshafka 'DECEMBER 2014. mpaka nmecheka sana. Ofice nyeti kama hyo wana overloooook?
  4. S

    IKULU yawashukia Jaji Warioba na Gazeti la Raia Mwema (la Jumatano April 2, 2014)

    SASA WEWE UNAPOSEMA VERY SAD KWA LIP? UNATAKA WALIPWE 200mil? acha ushabiki kama ww n mmoja au ndgu wa hao basi imekula kwako. AHSANTE IKULU KWA UFAFANUZ MAANA WAKAT MWINGINE VYOMBO VYA HABAR VINAPOTOSHA MFANO. Taarifa ya kuwavkila mjumbe alilipwa 500000/day watu wengi sana wanajua hvyo so nan...
  5. S

    Hizi hapa ambulance bajaj made in Mwanza, Tanzania

    Katika wote ww ndo umenena seriousely.
  6. S

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    Hakuna point hapo. Huyu mtumish bwana anachekesha sana, Binafisi sion kama kuna utabiri wowote zaidi ya kubun mbinu za kufikisha malalamiko yake kwa Mh raisi.Hisia zake ndo iwe ndoto kutoka kwa Mungu? Haiko vile mm sikubalian naye atafute jingine
  7. S

    Couple Finds Buried Buckets Of Gold Coins

    Mwenye nacho Mungu humwongezea so tukomae na sisi ili Mungu atuongezee.
  8. S

    Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

    Me na sign out. Baadae mida
  9. S

    Anayeona Posho Bunge la Katiba haitoshi, afungashe Virago!

    Aaa wap! Ukisema hvyo na hii digit imeletwa na nan500,000?
  10. S

    Anayeona Posho Bunge la Katiba haitoshi, afungashe Virago!

    Its ok. Me naona hata hyo bado n kubwa sana. Kama vp ipunguzwe kabsa. Hawa jamaaa wamezoea kutupora kisiasa.
  11. S

    Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

    Hahahahahaaaa! Kama vp bei ya mkaa sh. Ngap Dar jaman nauliza?
  12. S

    Mtu mmoja adakwa na vipande 21 vya meno ya tembo mkoani Singida

    Mmeliona hlo tuu. Vp waliotaka kusafilisha wale .. Na baadae kukamatiwa uwanja wa ndege. Vp kes zao ziliishia wap jaman?. Mnyonge sheria kwake n msumeno lakn kama huyu jamaa yuko vzr mbona itapindishwa tu, utasikia upelelez bado huku watu fran fran wakiendelea kufaidi.
  13. S

    Afisa Habari-CHADEMA atoa ufafanuzi juu ya uchaguzi wa madiwani

    Nyie mmekosa kaz za kufanya! Karbun tuchome mkaa maana ndo maisha ya tz. Siyo ccm wala cdm wote ni njaa tu. Hv unafikri cdm ikishika dola italeta badiliko gan. Heb kama kuna mzalendo anipe report leo Dar junia la mkaa bei gan?
Back
Top Bottom