Recent content by Shigganza

  1. Shigganza

    Rais Magufuli: Watanzania mniombee ili nimalize vizuri kipindi changu cha uongozi kama ilivyo kwenye katiba baada ya hapo niwaachie wengine

    Ikiwa ni siku chache tangu Mbunge wa Nkasi Kaskazini ALLY KESSY awasilishe maoni ya kutaka Bunge lipitishe azimio la kumshinikiza Mhe. Rais Dkt JOHN POMBE MAGUFULI, leo Juni 11, 2020 katika hafla ya uzinduzi wa jengo la Tarura na Zima moto Jijini Dodoma ameeleza Muda wake ukiisha ataondoka...
  2. Shigganza

    Uchaguzi 2020 Profesa Kitila Mkumbo atangaza kugombea Ubunge 2020

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Kitila Mkumbo Kupitia Akaunti yake ya Mtandao wa Twitter Ametangaza katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa Kufanyika Oktoba Mwaka huu. Uamuzi huo ameutoa wakati akijibu swali lililoulizwa na Mwandishi wa Habari Ezekiel Kamwaga. Hata hivyo hajabainisha jimbo...
  3. Shigganza

    Zanzibar: Mbunge wa jimbo la wawi Mohammed Juma Ngwali (CUF) ajivua uanachama wake na kujiunga na CCM

    TAARIFA YA HIVI PUNDE 02 March 2020 NG'OME YA MAALIMU SEIF YASAMBARATISHWA - PEMBA Mbunge wa Jimbo la Wawi, Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba kwa tiketi ya CUF Ndugu Mohammed Juma Ngwali amejivua vyeo vyake vyote ndani ya Chama hicho na kuomba kujiunga na CCM leo. Mbunge huyo ambaye...
  4. Shigganza

    Kwa kukutana na Maalim Seif: Kaimu Balozi wa Marekani amekiuka Mkataba wa Diplomasia?

    Kaimu Balozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Inmi Patterson anakiuka mkataba wa Kidiplomasia kwa kufanya mikutano ya siri na Chama cha ACT-Wazalendo Visiwani Zanzibar. Akiwa Visiwani Zanzibar Kaimu Balozi huyo wa Marekani amefanya kikao cha siri na Mshauri wa Chama cha...
  5. Shigganza

    Tanzania yashika nafasi ya 13 kwa Ubora wa Demokrasia Afrika

    Tathimini ya Demokrasia inahusisha masuala mengi, hilo la utawala wa Kisheria ni sehemu ndogo sana.
  6. Shigganza

    Tanzania yashika nafasi ya 13 kwa Ubora wa Demokrasia Afrika

    Gazeti la the Economist la Nchini Uingereza kupitia idara ya Economic Intelligence inayoshughulika na tathimini ya masuala ya Demokrasia Duniani, kwenye ripoti ya Mwaka 2019 ya tathimini ya Demokrasia, Tanzania imeshika nafasi ya 13 kwa Afrika na 95 Duniani. Kwa upande wa Nchi za jumuiya ya...
  7. Shigganza

    Trump hakuitaja Tanzania kuwa ni miongoni mwa Nchi zitakazoongezwa kwenye travel ban

    Nimeona vijana wengi hasa wa Upinzani kwa maksudi kutokana na Chuki binafsi, ushabiki wa vyama na ufahamu hafifu wanapotosha kwambaTRUMP ameitaja rasmi Tanzania miongoni mwa Nchi saba zitakazo wekewa vikwazo kwa Raia wake kuingia Nchini humo. Usahihi wa habari: Rais wa Marekani DONALD TRUMP...
  8. Shigganza

    Uchaguzi 2020 Kuelekelea Uchaguzi mkuu 2020: Tupe tetesi na maoni yako, unapendekeza nani agombee wapi na nafasi gani?

    Naibu waziri wa ofisi ya Rais TAMISEMI amesema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu atagombea ubunge wa Jimbo la Tarime vijijini. Ameongeza anatamani CHADEMA kimpitishe JOHN HECHE kugombea Jimbo hilo. Nauona Mwisho wa Heche katika siasa za Tanzania ikumbukwe katika siku za hivi Kari uni alishindwa...
  9. Shigganza

    Askofu Mwamakula: Mnamtisha Askofu? Mkimnyamazisha yeye Mungu atainua wengine. Mnanitisha kwa kuwa nimewambia ukweli tendeni haki

    Na- Zephrine Tesha, Morogoro Nimekuwa kwa muda mrefu nafuatilia habari katika mitandao zinazoandikwa na baadhi ya viongozi wa dini kwa waumini wao, watanzania na ulimwengu kwa ujumla kuhusu Taifa pendwa la Tanzania lenye amani, upendo na ushirikiano, nimegundua Tanzania isipokuchukua hatua...
  10. Shigganza

    Unafiki wa wanaharakati unatuharibia sote. Wananchi wangapi hamuwatetei?

    Na Munis Swai, ARUSHA. Kuna jambo tunapoelekea Noeli ya Xmas na Mwaka mpya 2020 lazima turudi nyuma tujitakase. Hivi ninapoandika hapa tayari kwa Tanzania kuitwa wanaharakati ni doa kubwa, kwa nini? Kwanza, kuna wanaharakati uchwara wameivamia hii tasnia yenye malengo mema ya kufanya advocacy...
  11. Shigganza

    Kinachoitwa uchaguzi wa CHADEMA ni maigizo na kiini macho cha Demokrasia

    Katika uga wa taaluma ya sayansi ya Siasa moja ya viashiria vya uchaguzi kuwa huru na haki ni kuwepo kwa Wagombea wenye Sifa na Nguvu sawa au zinazokaribiana. Kinadharia CHADEMA imekuwa ikijipambanua kama Chama chenye Demokrasia kuanzia jina lake, ni katika muktudha huo ilitarajiwa na...
  12. Shigganza

    Maboresho ya Mahakama mbalimbali nchini

    Kuna baadhi ya wadau katika mitandao ya kijamii wameonyesha kushtushwa na ujenzi wa mahakama mpya ya kisasa wilayani Chato na wengine kwenda mbali zaidi na kuonyesha hisia za upendeleo kwa Wilaya hiyo kwa kuwa Mhe Rais anatoka eneo hilo. Ama kweli jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza...
  13. Shigganza

    Rais Magufuli: Wasiotutakia mema wanatumia Asasi za Kiraia na NGO kutuhujumu ili kufifisha jitihada zetu kujikomboa kiuchumi kwa maslahi yao binafsi

    Sisi Tukitazama Juu, Vibaraka wa Mabeberu Wanatazama Chini Walifurahi sana kusikia imekamatwa. Walikesha wakiomba isitolewe ili wacheke. Wamefeli sana. Leo hii aibu zimewajaa. Wanainamisha vichwa chini kwasababu hawana la kusema. Wameumbuka sana. Sisi tunaangalia juu tukiwa na nyuso zenye...
  14. Shigganza

    Yaliyojiri Mkutano wa waandishi wa habari na wakurugenzi wa TRC na NHIF

    YALIYOJIRI LEO DESEMBA 12, 2019 KWENYE MKUTANO WA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA RELI TANZANIA (TRC), MASANJA KADOGOSA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MAFANIKIO YA TAASISI HIYO KATIKA MIAKA MINNE YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO #TRC ilianza kazi rasmi mwezi Machi 2018 na iliundwa kupitia Sheria Na...
  15. Shigganza

    Viongozi wa CHADEMA kukodi Ndege binafsi kuhudhuria Sherehe za uhuru wa Tanganyika ni matumizi mabaya ya fedha za ruzuku

    Punguza hisia za uvyama, mambo yaliyowazi ni kuwa Chadema walienda Mwanza kwa ndege binafsi ya kukodi ushahidi wa picha umewasilishwa. Mbowe hawezi kufanya ujinga wa kutumia fedha binafsi wakati Chama ni Mali yake na familia Mtei.
Back
Top Bottom