Kwa kukutana na Maalim Seif: Kaimu Balozi wa Marekani amekiuka Mkataba wa Diplomasia?

w0rM

Member
May 3, 2011
66
163
Wakuu,

Kuna taarifa zinasambaa kwenye social media zikidai Kaimu Balozi wa Marekani amekutana na viongozi wa Upinzani (ACT-Wazalendo) na kuwa kwa kufanya hivyo amevunja Mkataba wa Diplomasia.

Dkt. Inmi alikutana na Maalim Seif weekend hii.

Je, ni kweli pale anapokutana na wapinzani ndo anavunja mkataba huo au ni kigezo gani kinatumika kupima kama mkataba wa Vienna umevunjwa?

DF8F219F-8280-472F-8F06-31AB69D78C1F.jpeg


Balozi huyu pia aliwahi kukutana na CCM mnamo mwaka 2017 na hatukusikia kelele hizi

86E3C1EA-D2B9-4F85-9A62-E9A99A59C5FF.jpeg


Unaweza kusoma hapa:Humphrey Polepole afanya mazungumzo na Naibu Balozi wa Marekani Ofisi ndogo Lumumba-Dar

Aidha, mnamo 2018 Balozi wa China alikutana na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM (wakati huo) na hatukusikia kelele hizo

DB257FBF-F764-4CB3-8EE0-2D6652BFEBE5.jpeg


Ni mnamo mwaka 2013 pale Balozi wa China alipoonekana kwenye jukwaa la kisiasa la CCM ndipo CHADEMA walilalamikia uvunjwaji wa taratibu za kidiplomasia na bado CCM walitetea kuwa hakukuwa na makosa

E8D0B57F-D9B7-4AC0-AB6C-6F223BC7B83B.jpeg

4B81F816-0AE9-45C8-802D-08FD046DDC6B.jpeg

2B8723BE-4F0E-41AC-9BEE-F641363EA654.jpeg
 
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar

Kaimu Balozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Inmi Patterson anakiuka mkataba wa Kidiplomasia kwa kufanya mikutano ya siri na Chama cha ACT-Wazalendo Visiwani Zanzibar.
Akiwa Visiwani Zanzibar Kaimu Balozi huyo wa Marekani amefanya kikao cha siri na Mshauri wa Chama cha ACT Wazalendo, Seif Shariff Hamad ambapo mazungumzo yao hayakuwekwa bayana yalilenga katika dhamira ipi.

Taarifa kutoka ndani ya Chama cha ACT-Wazalendo zinasema kwamba, mazungumzo yao yalihusu zaidi masuala ya Uchaguzi Mkuu na namna walivyojipanga katika kushinda uchaguzi huo.

Katika kikao cha Kaimu Balozi huyo wa Marekani kilifanyika nyumbani kwa Mshauri wa ACT- Wazalendo,Seif Shariff Hamad huko Chukwani nje kidogo ya Jiji la Zanzibar saa 1:00 hadi 1:45 usiku.

Kitendo cha Kaimu Balozi huyo kwenda nyumbani kwa Seif Shariff Hamad kufanya kikao kinathibitisha dhamira mbaya kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa misingi ya maadili ya Kidiplomasia inazuia Balozi au mfanyakazi wa Ubalozi kujihusisha na masuala ya kisiasa ya nchi rafiki.

Mwanadiplomasia huyo amekuwa akilalamikiwa na watu wa kada mbalimbali kwa vitendo vyake vya kuonana na wananchi na kufanya mazungumzo yenye sura ya kisiasa wakati yeye hatakiwi kufanya vitendo hivyo kwa mujibu wa kazi iliyomleta hapa nchini.

Habari kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki zinasema kwamba , Kaimu Balozi Patterson aliomba kwenda Zanzibar kukutana na raia wa Marekani,lakini cha kushangaza amekuwa akikutana na wanasiasa wa vyama vya upinzani katika mikutano ya siri.

“Aliomba kibali cha kwenda Zanzibar kukutana na raia wa Nchi yake badala yake anakutana na kufanya mazungumzo na vyama vya siasa ni dhahiri kuwa anakiuka utaratibu” kilisema chanzo cha habari kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania.

Kinyume na ruhusa aliyopewa, Kaimu Balozi huyo inaonekana wazi kuwa ameidanganya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kuitumia ruhusa aliyopewa kinyume na madhumuni yake.

Ni wazi kuwa mwenendo wa Kaimu Balozi unakiuka mkataba wa Kimataifa wa uhusiano wa kidiplomasia wa Vienna wa mwaka 1961 kwa kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania na kibaya zaidi amekuwa akionesha ushabiki wa kisiasa.

Mkataba wa kimataifa Vienna unaoshughulikia uhusiano wa kidiplomasia wa Mwaka 1961 ibara ya 41(1) unakataza mabalozi na wanadiplomasia kuingilia masuala ya ndani ya nchi wenyeji na pia kutimiza wajibu wa kuheshimu kinga ya kidiplomasia.


Taarifa zaidi zinasema kuwa hii si mara ya kwanza kwa Kaimu Balozi huyo kukutana na kufanya mazungumzo ya siri na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani na haikuweza kufahamika mara moja dhamira ya kufanya hivyo.

Sheria ya Diplomasia ya Jamhuri ya Muungano waTanzania ya Mwaka 1986 ambayo ni zao la Mkataba wa Kimataifa wa uhusiano wa kidiplomasia wa Vienna hairuhusu Balozi au mfanyakazi wa Ubalozi kujihusisha na masuala ya ndani ya nchi ikiwemo masuala ya kisiasa.

Mwisho.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
By our staff Reporter, Zanzibar

In what constitutes political meddling, Acting US Ambassador to the United Republic of Tanzania, Dr. Inmi Patterson held secret meetings with members of the opposition party, ACT-Wazalendo in Zanzibar on Friday.

Reliable sources from within ACT –Wazalendo say that Dr Patterson met with Seif Shariff Hamad on Friday night when they discussed political issues, specifically the upcoming general election slated for October, this year.


The meeting took place at Seif Shariff Hamad residence at Chukwani area in Urban West region from 7:00pm to 7:45pm. The talks according to our sources centered on ACT-Wazalendo's preparedness for the next general election.

The meeting was also attended by other members of the ACT-Wazalendo party, among them; Ismail Jussa, Mansoor Yussuf Himid, Mohammed Ahmed Al Mugheiry (Eddi Riyami).

According to sources within the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, the US-Acting Ambassador was granted permission to meet with US citizens on the Isles.

"She asked for permission to go to Zanzibar to meet with US citizens, but instead she met and held talks with political parties. It is clear that she is violating the Vienna Convention on Diplomatic Relation of 1961," said a source from the Ministry of Foreign Affairs of Tanzania.

The diplomat has been criticized by various people for his breaches on the Vienna Convention on Diplomatic Relations of 1961 article 41 which strongly prohibited the diplomats from interfering with the internal affairs of the receiving state.
Without prejudice to their privileges and immunities, it is the duty of all persons enjoying such privileges and immunities to respect the laws and regulations of the receiving State. They also have a duty not to interfere in the internal affairs of that State.
Further reports say that this is not the first time the US –Acting Ambassador holds secret talks with leaders of opposition parties in the country. The reason behind her move remains unclear.

Diplomats are often granted certain privileges and immunities to ensure they may effectively carry out their duties, and also allow for maintenance of government relations.

According to the article 41 of the Vienna Convention on Diplomatic Relation, says that; without prejudice to their privileges and immunities, it is the duty of all persons enjoying such privileges and immunities to respect the laws and regulations of the receiving State. They also have a duty not to interfere in the internal affairs of that State.
Article nine of the Vienna convention says the host country can declare any member of foreign diplomatic staff as “persona non grata” and require them to be removed.

ENDS



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar

Kaimu Balozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Inmi Patterson anakiuka mkataba wa Kidiplomasia kwa kufanya mikutano ya siri na Chama cha ACT-Wazalendo Visiwani Zanzibar.

Akiwa Visiwani Zanzibar Kaimu Balozi huyo wa Marekani amefanya kikao cha siri na Mshauri wa Chama cha ACT Wazalendo, Seif Shariff Hamad ambapo mazungumzo yao hayakuwekwa bayana yalilenga katika dhamira ipi.

Taarifa kutoka ndani ya Chama cha ACT-Wazalendo zinasema kwamba, mazungumzo yao yalihusu zaidi masuala ya Uchaguzi Mkuu na namna walivyojipanga katika kushinda uchaguzi huo.

Katika kikao cha Kaimu Balozi huyo wa Marekani kilifanyika nyumbani kwa Mshauri wa ACT- Wazalendo,Seif Shariff Hamad huko Chukwani nje kidogo ya Jiji la Zanzibar saa 1:00 hadi 1:45 usiku.

Kitendo cha Kaimu Balozi huyo kwenda nyumbani kwa Seif Shariff Hamad kufanya kikao kinathibitisha dhamira mbaya kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa misingi ya maadili ya Kidiplomasia inazuia Balozi au mfanyakazi wa Ubalozi kujihusisha na masuala ya kisiasa ya nchi rafiki.

Mwanadiplomasia huyo amekuwa akilalamikiwa na watu wa kada mbalimbali kwa vitendo vyake vya kuonana na wananchi na kufanya mazungumzo yenye sura ya kisiasa wakati yeye hatakiwi kufanya vitendo hivyo kwa mujibu wa kazi iliyomleta hapa nchini.

Habari kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki zinasema kwamba , Kaimu Balozi Patterson aliomba kwenda Zanzibar kukutana na raia wa Marekani,lakini cha kushangaza amekuwa akikutana na wanasiasa wa vyama vya upinzani katika mikutano ya siri.

“Aliomba kibali cha kwenda Zanzibar kukutana na raia wa Nchi yake badala yake anakutana na kufanya mazungumzo na vyama vya siasa ni dhahiri kuwa anakiuka utaratibu” kilisema chanzo cha habari kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania.

Kinyume na ruhusa aliyopewa, Kaimu Balozi huyo inaonekana wazi kuwa ameidanganya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kuitumia ruhusa aliyopewa kinyume na madhumuni yake.

Ni wazi kuwa mwenendo wa Kaimu Balozi unakiuka mkataba wa Kimataifa wa uhusiano wa kidiplomasia wa Vienna wa mwaka 1961 kwa kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania na kibaya zaidi amekuwa akionesha ushabiki wa kisiasa.

Mkataba wa kimataifa Vienna unaoshughulikia uhusiano wa kidiplomasia wa Mwaka 1961 ibara ya 41(1) unakataza mabalozi na wanadiplomasia kuingilia masuala ya ndani ya nchi wenyeji na pia kutimiza wajibu wa kuheshimu kinga ya kidiplomasia.


Taarifa zaidi zinasema kuwa hii si mara ya kwanza kwa Kaimu Balozi huyo kukutana na kufanya mazungumzo ya siri na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani na haikuweza kufahamika mara moja dhamira ya kufanya hivyo.

Sheria ya Diplomasia ya Jamhuri ya Muungano waTanzania ya Mwaka 1986 ambayo ni zao la Mkataba wa Kimataifa wa uhusiano wa kidiplomasia wa Vienna hairuhusu Balozi au mfanyakazi wa Ubalozi kujihusisha na masuala ya ndani ya nchi ikiwemo masuala ya kisiasa.
 
Unalikumbuka like Sakatala barozi WA CHINA alivyohidhuria mikutano ya hadhara ya CCM?
 
Kaimu Balozi wa Marekani katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Inmi Patterson anakiuka mkataba wa Kidiplomasia kwa kufanya mikutano ya siri na Chama cha ACT-Wazalendo Visiwani Zanzibar.

Akiwa Visiwani Zanzibar Kaimu Balozi huyo wa Marekani amefanya kikao cha siri na Mshauri wa Chama cha ACT Wazalendo, Seif Shariff Hamad ambapo mazungumzo yao hayakuwekwa bayana yalilenga katika dhamira ipi.

Taarifa kutoka ndani ya Chama cha ACT-Wazalendo zinasema kwamba, mazungumzo yao yalihusu zaidi masuala ya Uchaguzi Mkuu na namna walivyojipanga katika kushinda uchaguzi huo.

Katika kikao cha Kaimu Balozi huyo wa Marekani kilifanyika nyumbani kwa Mshauri wa ACT- Wazalendo,Seif Shariff Hamad huko Chukwani nje kidogo ya Jiji la Zanzibar saa 1:00 hadi 1:45 usiku.

Kitendo cha Kaimu Balozi huyo kwenda nyumbani kwa Seif Shariff Hamad kufanya kikao kinathibitisha dhamira mbaya kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa misingi ya maadili ya Kidiplomasia inazuia Balozi au mfanyakazi wa Ubalozi kujihusisha na masuala ya kisiasa ya nchi rafiki.

Mwanadiplomasia huyo amekuwa akilalamikiwa na watu wa kada mbalimbali kwa vitendo vyake vya kuonana na wananchi na kufanya mazungumzo yenye sura ya kisiasa wakati yeye hatakiwi kufanya vitendo hivyo kwa mujibu wa kazi iliyomleta hapa nchini.

Habari kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki zinasema kwamba , Kaimu Balozi Patterson aliomba kwenda Zanzibar kukutana na raia wa Marekani,lakini cha kushangaza amekuwa akikutana na wanasiasa wa vyama vya upinzani katika mikutano ya siri.

“Aliomba kibali cha kwenda Zanzibar kukutana na raia wa Nchi yake badala yake anakutana na kufanya mazungumzo na vyama vya siasa ni dhahiri kuwa anakiuka utaratibu” kilisema chanzo cha habari kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania.

Kinyume na ruhusa aliyopewa, Kaimu Balozi huyo inaonekana wazi kuwa ameidanganya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kuitumia ruhusa aliyopewa kinyume na madhumuni yake.

Ni wazi kuwa mwenendo wa Kaimu Balozi unakiuka mkataba wa Kimataifa wa uhusiano wa kidiplomasia wa Vienna wa mwaka 1961 kwa kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania na kibaya zaidi amekuwa akionesha ushabiki wa kisiasa.

Mkataba wa kimataifa Vienna unaoshughulikia uhusiano wa kidiplomasia wa Mwaka 1961 ibara ya 41(1) unakataza mabalozi na wanadiplomasia kuingilia masuala ya ndani ya nchi wenyeji na pia kutimiza wajibu wa kuheshimu kinga ya kidiplomasia.


Taarifa zaidi zinasema kuwa hii si mara ya kwanza kwa Kaimu Balozi huyo kukutana na kufanya mazungumzo ya siri na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani na haikuweza kufahamika mara moja dhamira ya kufanya hivyo.

Sheria ya Diplomasia ya Jamhuri ya Muungano waTanzania ya Mwaka 1986 ambayo ni zao la Mkataba wa Kimataifa wa uhusiano wa kidiplomasia wa Vienna hairuhusu Balozi au mfanyakazi wa Ubalozi kujihusisha na masuala ya ndani ya nchi ikiwemo masuala ya kisiasa.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom