Kama kukutwa na Maliasili ya taifa ni kosa iweje wale jamaa waliomuua yule nyoka huko Arusha,Idara ya Maliasili haijawachukulia hatua wauaji ilhali sura na wanapopatikana kunajulikana!?. Kwa sababu serikali haiamini ushirikina.
Eeeh bibie hajajua siku hizi!, Mapenzi ni sawa na Jojo (Chewing gum) ikiisha utamu tafuta nyingine shida za nini bwana!,Wanaume wako wengi mbona, ukibinjua mtako tu wanajileta wenyewe!.
Inaonyesha jinsi gani ulivyo limbukeni wa maisha,Hebu taja au onyesha aliyewahi kuja mjini na kwenda moja kwa moja kuishi nyumba iliyokamilika au isiyokuwa chumba kimoja!. Wewe inaonyesha kwanza bado uko kwa shemeji au Kaka yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.