Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho,
Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu,
Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije
Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari,
Vijana...
$160 sawa sawa na sh ngapi? Endelea kubisha, niko zangu hapa kwenye kamjj kanaitwa Centenary. Waliofk wanaelewa. Sion haja ya kujitetea sana. Kwanza nimecheka. Sitajibu tena sms, zaidi nikifika Harare tu ni picha mwanzo mwisho.
Kuna jamaa tumekutana nae, anaongea English mbovu mbovu, ananiambia kwamba eti Guest house za Jobeg huwa niza ku share, sasa eti ananiomba tukifika huko tuweze ku share room. Ila nimemwambia mimi nina mwenyeji wangu, SA japo sina, naogopa asije akanitanua somewhere.
Habari za asubuhi ndugu zangu wa hapa JF
Wengi najua mmengoja kupata habari au report ya mwendelezo wa safari yangu ya SA.
Kuna changamoto nyingi sana njiani, usumbufu wa hapa na pale, leo ni siku ya 4 tangu nianze safari yangu ya Kutokea Nyunguu - Babati, to Johannesburg.
Kwanza kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.