Recent content by shibekijijini

  1. shibekijijini

    South Africa msije Sio kuzuri

    Ni Siku nyingi Sana sijakuja hapa kuleta mrejesho, Ndugu zangu South Africa, Sio kabisa msoto ni mkuu, Sina muda wa kusema Mengi Ila point yangu kuu km huna mtu Huku, km huna mtaji Pls watanzania wenzangu msije Nimemaliza sim hii nimeazima japo tu niwasalim na kuwapa tahadhari, Vijana...
  2. shibekijijini

    Msichana wa miaka 10 aliyebakwa India ajifungua mtoto

    Ohh Sent using Jamii Forums mobile app
  3. shibekijijini

    Mrejesho wa safari yangu ya South Africa

    Naomba nizime sim kwa muda.
  4. shibekijijini

    Mrejesho wa safari yangu ya South Africa

    $160 sawa sawa na sh ngapi? Endelea kubisha, niko zangu hapa kwenye kamjj kanaitwa Centenary. Waliofk wanaelewa. Sion haja ya kujitetea sana. Kwanza nimecheka. Sitajibu tena sms, zaidi nikifika Harare tu ni picha mwanzo mwisho.
  5. shibekijijini

    Mrejesho wa safari yangu ya South Africa

    Fedha ni siri ya mtu, inaweza kuongezeka au ikapungua, utakavyo nichukulia ndio hivyo hivyo. Barikiwa sana.
  6. shibekijijini

    Mrejesho wa safari yangu ya South Africa

    Kuna jamaa tumekutana nae, anaongea English mbovu mbovu, ananiambia kwamba eti Guest house za Jobeg huwa niza ku share, sasa eti ananiomba tukifika huko tuweze ku share room. Ila nimemwambia mimi nina mwenyeji wangu, SA japo sina, naogopa asije akanitanua somewhere.
  7. shibekijijini

    Mrejesho wa safari yangu ya South Africa

    NI vzr ukijua tu. Sio vby.
  8. shibekijijini

    Mrejesho wa safari yangu ya South Africa

    Usisikilize maneno ya watu, kikubwa document bro. Njoo
  9. shibekijijini

    Mrejesho wa safari yangu ya South Africa

    Habari za asubuhi ndugu zangu wa hapa JF Wengi najua mmengoja kupata habari au report ya mwendelezo wa safari yangu ya SA. Kuna changamoto nyingi sana njiani, usumbufu wa hapa na pale, leo ni siku ya 4 tangu nianze safari yangu ya Kutokea Nyunguu - Babati, to Johannesburg. Kwanza kabisa...
  10. shibekijijini

    Safari ya South Africa ndio nimeanza

    Nashukuru sana kaka, umefarijj mkuu.
  11. shibekijijini

    Safari ya South Africa ndio nimeanza

    Utakavyo chukulia bro.
  12. shibekijijini

    Safari ya South Africa ndio nimeanza

    Ningesema najua mngeni challenge, lugha najua, miaka 6 nasoma Ntinda View College Kampala, kweli nisijue hata cha kujitetea?
  13. shibekijijini

    Safari ya South Africa ndio nimeanza

    Asante sana, nimekuelewa
  14. shibekijijini

    Safari ya South Africa ndio nimeanza

    Nashukuru sana kaka, Dunia ni kigeu geu, km umeona hayo ndio maneno ya kuniambia ktk safari yangu nashukuru, Barikiwa sana.
Back
Top Bottom