Mkuu kwenye hilo nakupinga. Mimi nimepata tohara nikiwa darasa la sita nikiwa na miaka 14 kwa wakati huo lakini napitia changamoto sana upande wa nguvu na sikuwahi kujihusisha kwenye maswala ya kipuuzi. Kwahyo kwenye hilo nakukatalia abadani
Nafikiri haitambuliki kwa hapa Tanganyika ila imeeleza kwamba ikiwa wenza wanaweza kukubaliana kwa matakwa yao bila kulazimishana wakaamua kuufanya upendo kuwa ndio kipaumbele chao na sio mali zao, basi wanaweza kutafuta mwanasheria wakaandaa hii document kwa pamoja na kuorodhesha mali zao...
Wakuu kwenye pita pita zangu nimekutana na hii kitu inayoitwa prenup, ila nimeona nikama ina sound good.
Hivi kwa sheria za bongo hii kitu vipi ninaweza kuifanya au sheria hairuhusu??
Wanasheria wa jf mje mtuambie..
Nilivyoielewa kwa ufupi...
Prenup ni kifupi cha neno la Kiingereza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.