Pole sana, naelewa maumivu ya kujua yajayo huwa ni makali zaidi, Mungu akutie nguvu na kukupatia ujasiri, kikubwa ni kuwa zaidi karibu na Mungu yeye ndo mfariji wa kweli, Mapenzi yake kuna nyakati yanatuumiza sana na kuna nyakati yanatufurahisha kikubwa ni kuzidi kumtegemea katika hali zote...
Nimetulia zangu home nashushia wine taratibuu... huku naangalia tv shows mbalimbali [emoji1635][emoji1635] , ila tuache utani maisha mafupi sana tusiache kujipenda na kukumbuka kuishi...
Habari wanajf, msaada tutani mwenye kufahamu napoweza kupata mtu anayetoa gari kwa mkataba au kama muhusika yupo humu naomba anisaidie, experience ipo ya zaidi ya miaka miwili tutakubaliana mahesabu kulingana na projection zake.
Asante
Unakuta mtu ni mlevi wa pombe kali wa kupindukia, ini linafeli , anakufa, napo utaskia ilikuwa mpango wa Mungu wakati alikuwa na nafasi ya kucontrol pengine asingekufa mapema kwa tatizo hilo kama angekunywa kiasi au kujali afya zaidi.
(Ni mfano tu jamani msinipopoe wazee wa bia tamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.