Hapa Mbezi Luis kwa Yusuf Kuna mzunguko ambao magari yote yanagawanyika,yanayotolka Kibaha, yanayotoka kinyerezi,yanayotoka Mpigi magoe yanayotoka stendi ya Magufuli yote yanakutania hapa,sasa sijui ni uroho au ulevi mtu anatoa kibali cha kuweka makontena ya biashara katika eneo hili, bila...
Tuko wengi mini nilitoka kiluvya mpaka mbezi. Kwa bike saa 4 usiku Ile nafika kibamba nikawa nashangaa pikipiki ya ccm inawaka ghafla dogo mmoja alikuwa amejificha kwenye kichaka akanistua bro wanakuja kucheki naona hard top nyeupe inakuja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.