Recent content by Sherphy

  1. Sherphy

    Madeni ya TALA na Branch

    Taarifa kwa wateja wa tala Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Sherphy

    Naomba kufahamishwa kuhusu vyakula vya vifaranga

    Weekend hii naitaji kuingiza vifaranga vya kisasa wakienyeji sasa bado sijapata ufahamu juu ya vyakula vyao vinaitwaje? na gharama zake zinaendaje?
  3. Sherphy

    Hawa kuku wa Malawi wanakula sana, watanifilisi

    Kwa iyo hydroponic nutrients requirements za msingi ni mbegu either iwe ya mahindi, shairi na mbegu nyingine za nafaka ila kiutafiti imeonekana mbegu ya shairi ndio yenye nutrients zaid kuliko nyingine nichek nitakusaidia maana JF sipatikani mda mwingi 0715747242
  4. Sherphy

    Hawa kuku wa Malawi wanakula sana, watanifilisi

    Mkuu naitaji kuanza kufuga kuku wa malawi naitaji msaada wako kwa maelekezo ya kina maana kwa umri wa miezi minne kuku wamesonga Ila kuna chakula flani nilifatilia ni kizuri cha kutengeneza mwenyew kinaitwa HYDROPONIC FODDER.. kina save sana gharama ya hakula na kinalika sana kwa kuku wa aina zote
  5. Sherphy

    Swali kwenu wadau wa ufugaji.

    0715747242
  6. Sherphy

    Swali kwenu wadau wa ufugaji.

    Nami naomba uni add mkuu kwa group la ufugaji
  7. Sherphy

    Swali kwenu wadau wa ufugaji.

    Nami naomba uni add mkuu kwa group la ufugaji
  8. Sherphy

    Naitaji ufahamu kuhusu aina fulani za mbegu ya nyanya

    Kuna mbegu za nyanya nimepata kuziskia zikitajwa kwenye kipindi cha television. Mbegu hizi ni Tengeru Mshumaa Je kuna utofauti gani kati ya mbegu izo mbili?
Back
Top Bottom