Chilemba wamela pamputi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 468
- 486
Acha uongo tala wakikupa 40, 0000/= hawaongezi wanakuwa wanakupa hiyohiyo tu.Kama serikali yangu tukufu inadaiwa vipi mie mwananchi wake nisidaiwe. Wananidai 130000 ila sina mpango wa kuwalipa na hata wakipiga nawaambia live tu sina mpango wa kulipa kama mbwai na iwe mbwai tu bwashee
Sent using Jamii Forums mobile app
sent by galax s9