Recent content by sherina

  1. S

    All good men are married, so sad

    changamsha kijiwe🤣🤣🤣🤣
  2. S

    All good men are married, so sad

    jamani mbona wengi? mmh ngumu. afu na wewe usizae tena watoto watano wote utawasomesha vip?
  3. S

    All good men are married, so sad

    ahaaaa ndio mimi siombagi visent vidogo kama vi 50000 lakini najiuliza hata wewe 52yrs nauli inakua shida? nauli ya bus ama ndege? maana mimi kama ni mbali sipandagi basi sipendi kujitesa. unamaanisha nauliipi unombwa? note ikitokea nikaomba naomba kapesa karefu sana so usinione malaika...
  4. S

    All good men are married, so sad

    Tho hakuna sehemu nimetaj ninataka mwenye pesa ila naomba nikujibu, kwa ustaarabu kabisa, hivi unadhani miaka hi yote sikuwahi kumtengeneza mu ambae hakuwa na maisha? kwa taarifa yako nilikuwa kwenye mahusiano huyo mtu nilimkuta akiwa na maisha kawaida tumefanya mengi akawa ninavyotaka mimi...
  5. S

    All good men are married, so sad

    AMINA
  6. S

    All good men are married, so sad

    wee nae wacha kunichekesha mimi sina jibu labda wengine wajibu
  7. S

    All good men are married, so sad

    uko sahihi wengi wameshaoa. mimi sina shida na hilo nilitaka atakaepatikana mfano awe na taraka, au awe na mtoto analea ila haishi na mke ndani.au kabisa hajawahi kuoa wapo tho niwachache. na wengi najua ni viwanja vyenye mgogoro. nilikuwa najaribu coz najua ni ngumu. hata sisi wanawake wenye...
  8. S

    All good men are married, so sad

    kufika 5 ni maamuzi binafsi. lakini nani kakambia nimekosa mtu embu rudi usome vizuri uone kama nimekosa mtu.
  9. S

    All good men are married, so sad

    ahaaaaa wewe mtoto wacha kunichekesha dah, mdogo wangu ana 27 na wewe sasa ntakuweka wapi? hapana mdogo wangu mimi silei wanaume nataka mzee mwenzangu ambae halii lii njaa huduma zote Napata.nadekezwa. nb. hata kama una uwezo kwangu yeyote ninaemzid umri ni mtoto.sawa dogo?
  10. S

    All good men are married, so sad

    watu humu wanakatisha tamaa. nahis wanawake wengi mlishapitia hii situation ila basi tu hamjasema. asante
  11. S

    All good men are married, so sad

    asante kwa mawazo
  12. S

    All good men are married, so sad

    asante. sawa mimi Malaya ila kumbuka na wewe una dada zako ninayoyapitia muda huu nao watayapitia nao wataitwa Malaya. asante.
  13. S

    All good men are married, so sad

    wewe kwanza kanyonye ukue
  14. S

    All good men are married, so sad

    🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
  15. S

    All good men are married, so sad

    time will tell embu kwanza nisikilizie wenda ndo fungu langu.
Back
Top Bottom