Recent content by sheriff john brown

  1. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Mambo yote Polisi huwa wanasingiziwa tu. IGP Wambura anapaswa kupongezwa kwa amani tunayoifurahia

    Jf ya sasa wachangiaji wengi vichwa havijiongezi. Yaani mleta uzi kawapeleka chaka wamejaa, angalia koment zao hawajamwelewa. Ingekuwa ile jf ya miaka ya 2014 kurudi nyuma koment nyingi zingekuwa ni kukazia hoja ama emoji za vicheko. Ndio hivyo tena kila zama na....
  2. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Mnaopata kiungulia kila Ripoti ya CAG ikitolewa oneni madudu yanayotokea kwenye nchi za wazungu

    Mleta uzi kama sio Mwingulu Nchemba basi atakuwa ni David Kafulila. wasalimie sana Lumumba na hongereni kwa mlichofanya uchaguzi serikali za mitaa.
  3. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

    Takbrii, anaweza kukomesha mauaji ya watoto na wanawake kule Gaza na Lebanon dhidi ya mayaudi, tumpe ushirikiano inshallah.
  4. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Sead Ramovic aibua mpya,adai hakujua kama Yanga ni timu kubwa mpaka alipokuja nchini, adai jina lake linatamkwa Saidi''

    Huyu ni mjerumani wa mchongo wakimbizi toka Uturuki kama akina Ozili.
  5. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Wanasheria wa Sandaland wadai fidia ya Bilioni 3 dhidi ya Ally Kamwe kwa kukashfu Jezi za Simba

    Ally Kamwe sio wa kumchukulia siriaz kauli zake, Ally Kamwe ana matatizo ya kiakili na afya pia wala si utani Kamwe mgonjwa. Mtu mzima ana kilo 42 bado mnaamini yuko sawa? kuisemea Yanga haimanishi Kamwe ni timamu ni kwa kuwa tu yanga nao ni mbumbumbu. Ni suala la muda tu Kamwe atatoa boko...
  6. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasanii mnajua uchawa tu na kuhongwa mpitishe ajenda za kipuuzi, kupiga kura aaah!

    Inategemea na anampigia nani, kama nae ni ccm si ni bora hata hao wasiopiga kura, Maana nae atakuwa anabariki watesi, wezi, watekaji na machawa.
  7. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Ni chuki na wivu ndio waliyonayo kwa Drake. Drake amewapiga fimbo na wengi wao yeye ndio aliwapa trend

    Nnje ya malumbano yenu, Kendrick hajawahi nishawishi kama mwama hip hop. labda nimeathiriwa sana na wakongwe kama akina Big,Pac, Nas, Dmx,Trach, Mobb Deep, Ice cube, snoope Dr dre nk.
  8. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania IDF yasambaratisha kwa makombora jengo la ghorofa 8 Beiruti huku ikidaiwa mlengwa alikuwa kiongozi mkuu mpya Hezbollah Naim Qassem!

    Hata mi niliona kituko yaani Benja ni wakumpiga mkwara na warrant kweli? Duniani maajabu hayakauki, baadala ya kumpetipeti wanatumia mabavu? haya sasa ndio kwanza kachachuka kama mbilimbi za wazaramo, imesaidia nini?
  9. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu anavyojulikana na Akili Mnemba (AI)

    Goalkeeper wa sandland mungu anamuona, katuchafulia mkuu wetu wa mkoa.
  10. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Mwisho Mwampamba: Vyombo vya habari viliniandika kwa uongo, hakuna pesa yoyote niliyoshinda kwahio sio kweli eti nilifirisika

    Ni kweli mshindi alikuwa binti fulani kutoka Zambia nadhani alitwa Charisey kama nimepatia jina. Na Mwisho alishika nafasi ya pili, ila aliporudi kaburu alikula bata sana, mpaka bia aina ya safari ilipewa jina lake. Mtu anakuja kaunta anakuambia nipe Mwampamba baridi, miaka iyo nilikuwa kaunta...
  11. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Kwanini Isack Newton anapewa kuwa most influencial person duniani kuliko Yesu?

    Kwahiyo Newton ndio hufanya jiwe kwenda juu na kurudi chini likirushwa?
  12. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya meli za kitalii inatoa safari ya miaka 4 ili kuepuka urais wa Donald Trump

    Kama mtu unaweza kuwa na pesa nyingi ya kwenda kutumbua ktk meli ya kitalii unashindwa vipi kuwa na vibali vya kazi, ukaazi? Ama hizo pesa ni haramu mnauza figo za watu? Na kwanini ukimbie nchi ukalale baharini kama pweza kama si mualifu? Rudini nyumba mwekeze katika kilimo, miti, nyumba mifugo...
  13. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Naenda Arusha kununua Gitaa la Garatoni. Nijuzeni ni vitu gani vya kuzingatia

    Nadhani mtu sahihi angekuwa huyo mwalimu wako aliyekuambia ununue hilo gitaa, au nae hajui aina ya gitaa zuri? Ama umetaka kupata michango zaidi ya wadau wa jukwaani? kila kheri mkuu ukafanikiwe ndoto zako.
  14. sheriff john brown

    JamiiForums Tanzania Hizi taarifa nne muhimu mnazificha ili iweje? Sasa Mwamba wa taarifa zilizojificha nazianika hapa

    Hongera kwa kuingia chimbo na kutuletea taarifa nyeti. Kwa yanga mambo ya kishirikina ni kama samaki na maji. Tumeshuhudia wakiruka mageti na kuiba taulo za magolikipa wa timu mpinzani wakiwemo Kibwana na Nzize, kwahiyo taarifa yako inaweza kuwa sahihi kwa 99% ila ukisema hujawahi kosea ktk...
Back
Top Bottom