Hii issue ni kama ya Messi vs Ronaldo,, kila mtu hua anamsifia ampendae,,,,bt ndo ushabiki ulvo,,,na tusitegemee mambo haya kuisha bcz wanapokuwepo wawili ambao nibora huu mvutano hua upo tu,,,na upo kwa mashabik,, cdhan kama wahusika wanawazia sana mambo haya..