Recent content by shekaina

  1. shekaina

    JamiiForums Tanzania Dunia ni kigeugeu. Tuishi kimachale machale tu

    Ila jaman weusi wanajifanya weupe
  2. shekaina

    JamiiForums Tanzania Mstari unaukumbuka hata ukistukizwa, Biblia au Quran ?

    Isaya54:17 Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa...
  3. shekaina

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kanisa lenye miujiza

    Usiogope,narudia Tena usiogope...nenda ufufuo na uzima gongo la mboto,waambie nataka kuonana na Askofu Gershom atakusaidia Sana.
  4. shekaina

    JamiiForums Tanzania Maji ya kuchemsha na maji ya chupa yapi ni salama zaidi na yenye afya? Ni sawa kuchemsha maji ya kunywa kwenye birika ya umeme tofauti na sufuria?

    Me naona yakuchemsha, haya ya chupa ukinywa usiku halafu yabaki asbh ukiyanywa yanakuwa machungu hata sijui kwa nini.
  5. shekaina

    JamiiForums Tanzania Nilipokuwa mdogo nilijua hivi

    Nijua ukizaa na mwanaume ndio atakuoa[emoji57]
  6. shekaina

    JamiiForums Tanzania Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

    Cheza unavyocheza saa12 jion uwe nyumbani.
  7. shekaina

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa mkoa wa Kagera ni washirikina sana tofauti na tunavyowachukulia

    Wakitembea na Mume wa Mtu mpaka afukuzwe na kazi....
  8. shekaina

    JamiiForums Tanzania Muonekano mpya wa Luiza Mbutu baada ya kuacha kutumia mkorogo

    Mmh Ila amekuwa mbaya niseme ukweli!
  9. shekaina

    JamiiForums Tanzania Picha ikionyesha askari Magereza Tanzania wakiwa na sare (unifom) za rangi tofauti tofauti

    Tofautisha Askari Jela na Askari Magereza.
  10. shekaina

    JamiiForums Tanzania Wachungaji wengi makanisa ya kilokole ni kero, mmezidi kupiga makelele watu hatupumziki majumbani kwetu

    Zipo sana The Great Tabata, watu hatulali kwa kelele.
  11. shekaina

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu ya kuzingatia unapoingia mwaka 2022

    Kuna wasio jua wamenufaika.
  12. shekaina

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi hayana mvuto katika ibada

    Njoo kwa gwajima Gongolamboto full shangwe mwanzo mwisho..utainjoy
  13. shekaina

    JamiiForums Tanzania Misemo ya zamani mitamu sana

    Wambea tuliwaita,Shihata siku hizi shilawadu
Back
Top Bottom