Recent content by sheedhan

  1. S

    Pole pole sio huyu wa CCM mwenye magari

    Khkhkhkh Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    Gwajima sio wa kupuuzwa, ushauri wake kuhusu Corona umenitetemesha leo

    Hapo ndipo mnapotushindia Endeleeni kumsikiliza Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    Level siti sawa tumeikubali, mamlaka inajipangaje sasa kwa wanafunzi shule zikifunguliwa?

    Atanunua mafuta tu Na atatoa pesa mfuko mwingine kuongezea hayo mafuta Hapo sijui atasemaje akikutana na waheshimiwa wa barabarani Maana na wao kila daladala wana hesabu zao Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

    Kusema cha ukweli nimecheka sana Unaposema kama yana kaukweli Kwa mbaliiiiiiii Sent using Jamii Forums mobile app
  5. S

    Pendekezo: Faini makosa ya barabarani ziongezwe hadi kufikia 50,000/=

    T Tena wanakera sana Hasa ukiwa na hiace!!!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. S

    Wakuu, hivi kweli mtoto wa Mheshimiwa ameolewa kwa akina Msigwa?

    Jamani mbona mnapotosha mada??? Mwenye uhakika na jibu atupatie itakua Bora akituambia Mtoto wa mzee anaitwa fulani kaolewa na fulani ambae Kwa msigwa ni ndugu yake kihivi!!!! Hapo tutaelewa vizur Sent using Jamii Forums mobile app
  7. S

    TAKUKURU: Uchunguzi sakata la Kangi Lugola na wenzie umekamilika. Jalada linapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka (DPP)

    Dah!!!! Nilicheka sana pale pale aliposema mzee Kangi mwaka huu atashughulika na wenye ndevu zanzibar Nikafurah sana kabla hajashughulika nao yeye kisha shughulikiwa Ndio nikaamini kuwa cheo ni dhamana tu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. S

    Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

    Mimi kwangu hiyo ya kwako tu Kwa 1000 napewa mb 250 Kwa saa 24 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. S

    Nimejipanga kumshikisha afisa uhamiaji pesa za PCCB

    Mgiriki umeshawahi kwenda kutafuta jambo lako Ofisi za serikali wewe???? Kama unataka kuzid kuonekana bwege au mtu asiejua kujiongeza nenda Kwa mkubwa wao Utashangaa kila ukifika hayupo, yupo bize, ana wageni leo, Utamaliza mwezi hujamuona Na siku ukimuona atakuuliza Umeshindwa kujiongeza?? Njoo...
  10. S

    Serikali kutoongeza muda kusajili laini

    Mimi sijaelewa wa ndugu Hivi kitambulisho cha NIDA Kazi yake ni kusajilia line?? Mbona naona kama tunashusha thamani ya kitambulisho hicho??? Maana kila anaehangaika na kitambulisho hicho anakwambia nataka kusajili line Watanzania wenzangu!!!!!!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. S

    Kuenguliwa wapinzani kumewapaisha kisiasa

    Mimi huwa najiuliza sipati jibu Hivi vyama vya siasa vikubwa Chadema NCCR Cuf ACCT wakiamua kukaa Kimya wasiseme lolote wasiingie kwenye uchaguzi wala wasichukue form yyt ya uchaguzi Wakiacha ccm peke yake patatokea nini??? Maana rafu kila uchaguzi wanazilalamikia na njia ya kutibu rafu hizo...
  12. S

    Aibu kwa jiji la Mwanza

    Sio nyegezi ya diamond mzee ni nyegezi ya kitongoji cha mwanza
  13. S

    Je, Rais anahujumiwa Shirika la Reli?

    Huenda ikasaidia Naunga mkono mia Kwa mia
  14. S

    Je, Rais anahujumiwa Shirika la Reli?

    Mzee usafir wa train Kwa mambo hayo tumeshazoea kabisa Kuambiwa hakuna siti na kukuta behewa zipo tupu ni kawaida sana
Back
Top Bottom