Jamani nashukuru huku tunapeana ufahamu Wa mambo .
Mambo kama haya yangekuwa yanajadiliwa fb public Ili na wahusika wajue kwamba watz wanaelewa wanachofanya niujanja ujanja uleule kama kausha damu kwanini kama wanataka kutusaidia watu wachin baadhi ya mambo hayako wazo? Kunani hapo!
Nilidhani...
Binafsi sishauri sana kupenda kazi za kufanya kwa mtu ni bora utulize ubongo utafute shughuli ya kujiajiri kama utaweze kwenda veta ni vema Fanya utafiti wa ujuzi ambao unasoko mtaani .Fulsa nyingine kwa sasa ni kilimo na ufugaji huko nako kunamaisha
Nikweli hasa unapokuwa nashughuli ambayo kipatochake kidogo hakikidhi mahitaji na umeiona fulsa nyingine unapata kugugumizi kuiacha kazi ya kwanza na kuanza nyingine na wateja hawajakuzoea lazima kipato kinaweza simama kwa muda ambao ni mgeni kwenye mradi huu mpya wakati huo mahitaji ya familia...
Simu na vifaa vyake ni biashara nzuri ukijipanga vizuri hasa kifedha ofisi ikapendeza lazima uuze maana nivitu vinatakiwa mara kwa Mara. Hata spea unauza tu ilimradi eneo ulipo panamafundi cm.Japo ukiwa nawewe ni fundi utakuwa unapiga kotekote japo ufundi ni uwe na Hobie lasivyo utaambulia...
Mimi in mjasiliamali ambaye pia ninatoa huduma miamala ya kifedha kupitia simu yaani M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money na Holapesa. Ninatamani niweke na huduma za bank lakini mtaji wangu ni mdogo kwahiyo nimefikiri nikope pesa kwaajili ya huduma ya kibenki na mahali nilipo wateja wapo.
Swali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.