:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39: punguzeni masufuria wakuu. baba yetu safari ni nyingi sasa mama akimsaidia kuna ubaya?? ni sawa na ukuwa kwako mmeo au mkeo anapokuwa safarini shurti umsaidie kazi zake bila hivyo mambo mengi si yatalala???? hebu tumpe sapot wakuu. pamoja tuijenge...
:A S angel::A S angel::A S angel::A S angel: hahaaaaaa!!! namhurumia sana kibonde jaman dah!! maana nae kwa masuala ya watu kujifanya anajua heee.. warekebishwe. pamoja tuijenge tanzania yetu nzuri
Inasemekana kuwa katika mikoa yote tuliyokuwa nayo Iringa,Njombe,Songea,na sumbawanga ndiko kwenye viongozi wa nyadhifa kubwa Waliopewa uongozi wa juu ndio wanaoongoza kwa kutuangusha wananchi wao.
Ukiangalia madam spika Makinda katoka huko, Lukuvi katoka huko, wazir wa fedha Mgimwa katoka...
ANATAKA KUGOMBEA UONGOZI GANI TENA HUKO???? AANGALIE AKIUKOSA UONGOZI, AU NAFASI YA KUGOMBEA AKATANGAZA TENA KWA MBWEMBWE KURUDI CCM... TEH TEH TEH YETU MACHO TUUU:A S angel::A S angel::A S angel::A S angel: PAMOJA TUIJENGE TANZANIA YETU NZURI
KUNA TETESI KUWA WALE WALIOJUA MAPEMA NINI HASA RAISI NA KIONGOZI BORA ANATAKIWA KUWA KUNAKO KUELEKEA 2015 NI LAZIMA AJIELEKEZE KTK JESHI. KULE KUNA MAFUNZO MENGI YENYE KUMJENGA NA KUMFUNZA, HASA ZILE SHIDA ZA KULE.. PIA WALIOJIANDIKISHA TUNAWAPONGEZA SANAA;;; LAKINI KWANINI NA WENGINE...
:yo::yo::yo:hakika mungekuwa hat kumi tu kama wewe humu ndani mbona tanzania ingebadilika moja kwa moja kutoka analogy kwenda digital automatically.. i salute mkuu.. pamoja tuijenge tanzania yetu nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.