Recent content by shedraki

  1. S

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Safi sana kura yangu mwana temeke imeenda sawia haswaa temeke bila ccm inawezekana
  2. S

    Manyara - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Kamanda james ole millya karib sana kwenye ukombozi wa kwel
  3. S

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Hongera sana mh halima na wana kawe wote heshima kwen wameshindwa kuiba
  4. S

    Mramba wa TANESCO hueleweki, kazi imekushinda, jiuzulu!

    Hapa kurasini dar hamna umeme sasa hivi
  5. S

    Sugu Awapigisha Kwata la Kufa Mtu CCM Mbeya

    Daah sugu piga kazi kijana utukomboe watanzania
  6. S

    TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

    Alikuwa ni waziri wa utumishi wa umma katika ofisi ya waziri mkuu rip mama yetu
  7. S

    Kutoka Dodoma: Ziara ya Mgombea Urais kwa tikeki ya CHADEMA, Edward Lowassa

    Mabadiliko ni sasa na lowasa ndio mwenyewe haahahaaha hii noma
  8. S

    Vurugu Mara: Msafara wa Heche wavamiwa, Mwanachama mmoja wa CHADEMA Afariki

    Mungu wabariki walioumia warudi katika mapambamo ya ukombozi wa taifa letu
  9. S

    Hali si shwari Morogoro road, Teja amshikia kisu mama aliyeacha vioo vya gari wazi na kuchukua hela

    Huyo teja ni msumbufu sana kwa akina mama kwani aliwahi mtolea kisu ndugu yangu mitaa ya lumumba na ukitaka kupandisha kioo anakizuia na kutoa vitisho vingi sana kwa hyo akina mama wawe makini sana na hyo teja amekuwa msumbufu sana
Back
Top Bottom