Mimi huwa nawazaga yaan wanadamu kwenye swala la uhusiano wa kimapenzi tungekuwa kama baadhi ya Ndege kama Eagle 🦅au sparrow Wengi tungeoa bikra,maan ndege wa jamii nyingi mfano ndege hondohondo huwa na jike moja tu la maishsha na sio kama sisi baadhi ya wanadamu kudonoa donoa kila mahala.
Na kuna kipindi watu wataimiss miaka hii ya 2020's kikubwa tuishi huku tukitumia vyema muda na pumzi aliotupa mungu bila kusahau kutenda amali njema,kwani muda haitusubiri
Hali ya kumiss maisha ya miaka nyuma huitwa NOSTALGIA, mimi binafsi sikuwa nimezaliwa 1990's but naona kwenye reel mbalimbali kwamba miaka ya 1980's na 1990's ilikuwaga miaka mizuri san
Ni jangq tena sio kidogo miziki mingi siku hizi haijabeba ujumbe mzuri bali ni kusifia pombe,kuipamba ngono na kudhalilishq wanawake tofauti na miziki kama ya kina Ferooz ya ugonjwa wa ukimwi ulikua na ujumbe mzuri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.