Recent content by Sheby Walker

  1. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengi hufikiri Kila mwanaume aliwahi kutoa bikra wakati waliokutana na bikra ni wanaume 2 kati ya 10

    Mimi huwa nawazaga yaan wanadamu kwenye swala la uhusiano wa kimapenzi tungekuwa kama baadhi ya Ndege kama Eagle 🦅au sparrow Wengi tungeoa bikra,maan ndege wa jamii nyingi mfano ndege hondohondo huwa na jike moja tu la maishsha na sio kama sisi baadhi ya wanadamu kudonoa donoa kila mahala.
  2. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya kijeshi vya Uturuki vyaangamizwa huko Syria!!

    Heal the world 🌎 vita na uchochezi huvuruga amani
  3. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania Kama ume imiss Dar ya Miaka ya Tisini hakikisha kila sikukuu ya kiislamu unatembelea Chanika au Back City

    Sana tofaut na sasa ila tuishi bila kumsahau mungu maan miaka hii mambo ni mengi san
  4. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania Kama ume imiss Dar ya Miaka ya Tisini hakikisha kila sikukuu ya kiislamu unatembelea Chanika au Back City

    Na kuna kipindi watu wataimiss miaka hii ya 2020's kikubwa tuishi huku tukitumia vyema muda na pumzi aliotupa mungu bila kusahau kutenda amali njema,kwani muda haitusubiri
  5. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania Kama ume imiss Dar ya Miaka ya Tisini hakikisha kila sikukuu ya kiislamu unatembelea Chanika au Back City

    Hali ya kumiss maisha ya miaka nyuma huitwa NOSTALGIA, mimi binafsi sikuwa nimezaliwa 1990's but naona kwenye reel mbalimbali kwamba miaka ya 1980's na 1990's ilikuwaga miaka mizuri san
  6. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata

    No retreat no surrender,mtangulize mungu kwenye mapambano yako punguza na acha d
  7. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata

    No retreat no surrender,mtangulize mungu kwenye mapambano yako punguza na acha dhambi
  8. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania Dawa au mafuta ya kuondoa nywele kichwani

    Shuhuda za huo mporojo zipo,yaan waliofanikishq kuotesha nywele
  9. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania KERO Uholela wa NGONO, POMBE NA MUZIKI: Ndilo janga kubwa zaidi la kizazi chetu"

    Ni jangq tena sio kidogo miziki mingi siku hizi haijabeba ujumbe mzuri bali ni kusifia pombe,kuipamba ngono na kudhalilishq wanawake tofauti na miziki kama ya kina Ferooz ya ugonjwa wa ukimwi ulikua na ujumbe mzuri sana
  10. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania KERO Uholela wa NGONO, POMBE NA MUZIKI: Ndilo janga kubwa zaidi la kizazi chetu"

    Kweli kabisa pia vile vile matumizi mabaya ya mitandao,uangaliaji wa video chafu unaangamiza sana jamii zetu
  11. Sheby Walker

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Chuo cha Kiislamu Morogoro kiboreshe mazingira ya usafi, yanawaweka hatarini Wanafunzi na Wafanyakazi

    Wabadililike bhn au warejeshe eneo kwa serikali tu ni aibu🫣
Back
Top Bottom