Recent content by Shebeneza

  1. Shebeneza

    Matusi baada ya kumfungulia mpenzi wake facebook

    Raha ziko nyingi ila jf ni kiboko %#http://
  2. Shebeneza

    Mkeo/mumeo ni yule mliyefunga ndoa kabla ya kufanya tendo la ndoa

    Sasa bila kutiana utajuaje utamu wa huyo unayetaka kuishi nae? wengine ni wazuri wakiwa wamevaa ila wakivua ni majanga yaani full mabaka,harufu mbaya,n.k
  3. Shebeneza

    Sasa kupima DNA muhimbili ni 100,000 tu

    maisha menyewe magumu yaani ni full stress kila kukicha halafu leo nikatatafute presha tena kwa maDNA? Bora niendelea kudanganywa na kuibiwa tuuuuu %#http://
  4. Shebeneza

    Au sababu ya ugeni

    weka picha %#http://
  5. Shebeneza

    Zinaa mbaya soma ushuda wa binti huyu toka kuzimu

    Ngoja nianze kufanya mazoezi ya kupita kwenye moto na kuchungulia matundu ya vyoo ili nijikomaze na kuwazoea funza ili siku ya mwisho inikute niko freshi kwani kuacha uzinzi siwezi %#http://
  6. Shebeneza

    Nimempenda House Girl Wangu

    Asiyekuwepo na lake ameondoka nalo,huko aliko mkeo anachachuriwa kama kawa,hivyo na wewe chachuwa ulichonacho home inapunguza maumivu %#http://
  7. Shebeneza

    Tukumbushane: teanage Love

    this makes me admire and love jf everyday,topic na comments zinazotelewa yaani ni full Raha kicheko %#http://
  8. Shebeneza

    Tofauti kati ya msichana na mwanamke

    heee,tusidanganyane bwana, my wandani ana 27 years old na tuna 3 kids,kwa hiyo bado ni msichana?
  9. Shebeneza

    Moyo wangu umepata baridi Baada ya Neno hili!

    Mapenzi mabaya,so,jiepushe nayo> *bora kupendwa kuliko kupenda* *bora kutunzwa kuliko kutunza* *bora kufa kuliko kufiwa* *bora kumega mke wa mtu mwingine kuliko kumegewa mke wako*
  10. Shebeneza

    Nishabikie team gani?

    6*6 team %#http://
  11. Shebeneza

    wadada mmezidi sasa, khaa!

    Shebeneza is back in action,nilitupwa lupango kwa mwezi mzima kwa kuleta hate posts against women mwezi jana,leo ndo nimeachiwa huru na leo hii hii mapost ya macharii kulalamika ni mengi balaa,so,mzimu wa shebeneza ni balaa!
  12. Shebeneza

    Husband and Wife

    ukioa wewe ndo Baba na wewe ndo mwanzo na mwisho wa yote,yawe mabaya au mazuri,kupeleka mambo yenu kwa wazazi wenu ni utoto na upumbavu, Ref.mushi vs ufoo %#http://
  13. Shebeneza

    Sisi sio walevi saa nyingine ni uchovu wa kazi tu...

    Wengine bila kilevi hata kuduu ni karaha,mimi wakwangu kanizoea na siku nikitinga home sijachangamka kwa kileo huniuliza *leo hujaweka mafuta tutafika kweli mawenzi?* %#http://
  14. Shebeneza

    Mapenzi ni fadhila?

    Mapenzi ni mabaya ndo maana hakuna anayeyafurahia wala kujivunia %#http://
  15. Shebeneza

    Madomo Zege, wabakaji na matapeli wa mapenzi walikwepo tangu enzi na enzi!

    ya madomo zege,wabakaji na matapeli ya mapeeeenziii %#http://
Back
Top Bottom