Recent content by ShebbyDoza

  1. ShebbyDoza

    Mbowe utueleze kwanini unahamasisha kuvunja sheria ya NEC

    Unajua vizuri sheria hiyo ya NEC.....?!
  2. ShebbyDoza

    Kutoka viwanja vya Sinoni-Arusha: Mkutano wa Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Okt 8, 2015

    Watasubiriiii sana na bado kwa Lowassa watasubir sana na bado ...... Woyo woyo woyoooooooooooooooooo
  3. ShebbyDoza

    Kaskazini mabadiliko ni porojo tupu wananchi 80% wanaipenda CCM

    Do u plus na uchakachuzi woteeeee.....?!
  4. ShebbyDoza

    UKAWA: Tanzania sio Dar-es-salaam tu

    Ni trick nzur sana kuja Dar several times kwa sabab watu wengi wa Dar wana ndugu vijijin so unapowapa sumu watu wa dar watazisambaza huko interior na kuhamasisha na ikifika tym ya kwenda huko inakua ni kazi rahis kama kumsukuma mlevi....
  5. ShebbyDoza

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Nna maumivu makali chini ya mbavu upande wa mgongon maumivu yanaenda wiki ya pili sasa na sijawahi kupata ajali ama kuumia kwa vyovyote sehem hiyo.... msaada kwa anayejua ivi itakua ni nn iyooo?!
  6. ShebbyDoza

    Mnyika aongea na waandishi ngome kuu ya UKAWA, awajibu NEC

    Mbona zinashuka si mara ya kwanza mlikua mnasema ni 10B mara 5B mnashuka?
  7. ShebbyDoza

    Mbu anasaidia kueneza HIV

    Je ukitafuna bigijiii/bublishi ya mtu ambaye anatumia dozi ya ARV je anaeza pata maambukizi...?! Nijulisheni wadau
  8. ShebbyDoza

    Vipi hali ya Jimbo lako, upepo unavumaje?tupeane updates!

    Duuuuuh aiseeee zile kelele za Ndiyoooooo bungen hazitazidi kumi .....
  9. ShebbyDoza

    Vipi hali ya Jimbo lako, upepo unavumaje?tupeane updates!

    Mkuu me ni mkazi wa ukonga Ukawa wana advantage kubwa ya kushinda but huyu bwana Waitara ana delay mwenyewe kupiga kampen yaan yeye anafanya kampen kivule na kitunda tu Gongo la mboto na mitaa yake hafiki na ndo kuna kura nyingi sana maeneo hayo
  10. ShebbyDoza

    Kupigwa kwa nyimbo ya Lowassa usiku siyo kampeni baada ya muda kupita?

    Thats ma favorate track kwa sasa
  11. ShebbyDoza

    Utafiti wa Synovate: Magufuli aongoza kwa 62%. Yabainika watanzania bado wana imani na CCM

    Hawa nao hawakuwapa watu simu na chaja...?! Je walihoji watu wangap?
  12. ShebbyDoza

    Naomba ushauri, Nataka kwenda Ujerumani kutafuta maisha

    Njoo Damascus Syria huku maisha safi....
  13. ShebbyDoza

    Nashindwa kuelewa, unyumba sipati kwa mke wangu

    Umuhimu wa kuingia chumvini unaonekana hadharan. Tusikremishe kua mapenzi ni uchafu oh tunaiga wazungu sometimez michezo adimu inatakiwa i play part lazima hawe na hamu nawe tu....
  14. ShebbyDoza

    Msaada: iPhone 6 plus na Storage Capacity hii

    Wadau nna Galaxy S2 nauza laki na sabini nna miezi miwili tangu niinunue
Back
Top Bottom