Recent content by shbn jm

  1. shbn jm

    Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

    wakristo wengi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. shbn jm

    Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

    sasa pm ya kazi gani wakati hili ni tatizo la watu wengi hapa ila wamekaa kimya
  3. shbn jm

    For JamiiForums Mobile users

    (COLOR=)MOBILE(/COLOR)
  4. shbn jm

    KCSE Hakukuwa na "A" Hata Moja Katika Mtihani Wa Kiingereza

    sasa kwani hayo masomo yanafundishwa kwa kiswahili wewe
  5. shbn jm

    Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

    ooh kwa maana hiyo wala nguruwe ndo hawatulii na mmoja sio,nice sana kaka kwa kuelewa
  6. shbn jm

    Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

    kawaida ya mtu akiishiwa na hoja hutukana
  7. shbn jm

    Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

    hahha sasa mnakujaga kufanya nini huku kwa wavivu mkija kusoma ndo hata kwenu hampataki tena,jamani Mungu anawaona lakini nyie ndo mnasababisha nchi iwe na njaa maana wote mmejazana huku mashamba hamtaki kulima tena
  8. shbn jm

    Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

    nenda ofisi ya takwimu wakusaidie,mimi takwimu zangu naangalia rate tu,ukimwi ukiwa mwingi basi wakristo ni wengi,ushahidi wa hilo angalia kidunia utaona nchi za waislam waarabu kama saud arabia ndo utapata jibu,yani ukimwi ni 0.0%
  9. shbn jm

    Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

    mbona mkipata chance ya kuja huku hamrudi kwenu...kubali kati ya haya mawili 1. wewe ni mtumiaji mzuri wa mabwabwa 2. wewe mtumiwaji mzuri ndo maana baada ya kupata unachotaka ukalowea hapa kwa mabwabwa wenzio
  10. shbn jm

    Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

    usiwe na akili mgando,manyara ni kijimkoa kidogo sana kilichomeguliwa,huwezi fananisha na pwani ambayo ni kubwa balala,so tukienda kwa ratio ya population against maambukizi utakuta pwani wana 0.00 na hata maambukizi ya pwani wanaoleta ni hao hao maana tunawaona wanakuja kusoma then hatuwaoni...
  11. shbn jm

    Majibu ya chaguo la pili NACTE ngazi ya cheti, stashahada

    habari zenu wakuu,hivi lini majibu ya pili yatatolewa,maana wale waliochaguliwa chaguo la kwanza wapo njiani vyuoni,sisi tunauza sura mtaani tu na je deadline itakuwa moja au mbili,kingine naombeni mchango na mawazo yenu wakuu niliomba petroleum and geoscience chuo cha madini dodoma,naomba...
Back
Top Bottom