Recent content by Shayla

  1. S

    Jinsi unavyoweza kuagiza mabelo ya mtumba kutoka China na Dubai kwa bei chee na kupata faida mara 2 au 3 zaidi

    Tunaoanza mdogo mdogo tuelekezane na no za cm wapi tutapata belo hasa za watoto na pochi kwa Dar na Mwanza hata sehemu nyingine Sent from my Nokia 7.2 using JamiiForums mobile app
  2. S

    INAUZWA Nauza Freezer na Mizani

    Hapana mkuu
  3. S

    INAUZWA Nauza Freezer na Mizani

    Nenda kanunue kama ni laki 9
  4. S

    INAUZWA Nauza Freezer na Mizani

    Freezer na mzani bado vipo bei imeshuka mpaka 1,500,000 Kwa freezer na mzani ni 259,000
  5. S

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Nauza freezer bado jipya kabisa bei 1,500,000 ni kubwa milango mitatu Lipo Jijini Dodoma Mawasiliano 0745305685
  6. S

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Ungeweka no tukutafute
  7. S

    INAUZWA Nauza Freezer na Mizani

    Linatumia umeme kidogo WA kawaida
  8. S

    Biashara ya samaki

    Mzani 250,000
  9. S

    Biashara ya samaki

    Wadau nauza mzani unapima mpaka kilo 300 bei 250,000 Freezer kubwa milango mitatu 1,500,000 vyote vipo Dodoma Kwa mawasiliano 0745305685
  10. S

    INAUZWA Nauza Freezer na Mizani

    Wadau freezer imeshuka mpaka 1,500,000 na mzani 250,000
  11. S

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Natafuta MTU anayeweza kunipangia/kuweka mpangilio mzuri na unaoeleweka WA bithaa za kwenye min market dukani akiwa Dodoma itapendeza zaidi. Nitaomba tutafutane DM
  12. S

    INAUZWA Nauza Freezer na Mizani

    Wadau nauzA friza kubwa milango mitatu bei sh 1,800,000 ni Aina ya Von. Mzani unapima mpaka kilo 300, bei 300,000 Vyote vinapatikana Dodoma mjini Walio serious kununua tuwasiliane Kwa no 0745305685
Back
Top Bottom