Kazi ya Uwakala wa M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money inaingizaje pesa?

ipo hivi kwenye biashara ya mpesa kuna faida ndogo sana tena sana.ili uingize hata elfu 5 kwa siku inatakiwa uwe na wateja weng sana (wengi sana)

sasa kuna hizi lain ziliundwa mahusus kwa kulipia bidhaa kama supermaket au sheli,(mteja akitoa pesa hakatwi inatoka kama ilivyo)

sasa mawakala wajanja tukaamua kuzinunua hizo till aina ya lipa kwa mpesa.

anakuja mteja anataka kutoa mfano elfu 10 ,ili itoke elfu 10 atakatwa sh 1600 alafu ww unapata kamishen kama sh 200 tu

sasa ukiwa na ile lipa kwa mpesa unamwambia aweke 11000 alafu ww unampa elfu 10 unabakiwa na buku yeye pia unamwachia 600 ambapo ukijumlisha inakuwa 1600 ya makato. sasa mteja akiona amekatwa elfu moja tu kesho atamwambia mwenzake watakuja wengi.

yaan kiufupi mteja akija kutoa namtolea kweny lipa inatoka kama ilivyo .yale makato ambayo mteja anakatwa hayaendi kweny kampuni nabaki nayo mimi alafu najiongeza nakupa na ww kidgo ili kesho urudi (technique ya biashara)

ila sasahivi naona voda wameshashtuka wanazifungia ila hela yako unaitoa.

baada ya lipa kufungwa fungwa tukahamia selcom,tukahamia tena mlipa sasahivi tunatafuta mbinu nyingine.UKITEGEMEA KAMISHENI YA VODA UTATOKA BARABARANI MAPEMA


TOFAUTI NA HAPO SIKUSHAURI UFUNGUE MPESA KAMA HUNA UJANJA UJANJA WA KUINGIZA PESA.

NB: NIMETOA HII SIRI YA KAMBI BAADA YA TILL ZA LIPA KUFUNGWA FUNGWA


SOMA VIZURI MAELEZO YANGU
Kuna jamaa alikua ameweka hii kule rombo kijijin ukienda kutoa anakwambia weka lipa na m pesa alaf Kama ww n zuzu ukimpa akutolee akishamaliza kutoa anafuta msg yako
Niliwah toa hapo 30k akasema weka 32k kwakua hukatwi kitu na ukitoa Kwa wakala unakatwa hyo 2k
 
Kuna jamaa alikua ameweka hii kule rombo kijijin ukienda kutoa anakwambia weka lipa na m pesa alaf Kama ww n zuzu ukimpa akutolee akishamaliza kutoa anafuta msg yako
Niliwah toa hapo 30k akasema weka 32k kwakua hukatwi kitu na ukitoa Kwa wakala unakatwa hyo 2k
Duuuuuu....
 
Naona kama halopesa nao wamejitoa kwenye lipa hapa kwa Tigo....kila ukifungua menu yao wana kwambia mtandao umetingwa.
 
Kamisheni imekaa kichawi kweli! Yaani kama vile tunawafanyia kazi Serikali na wenye hayo makampuni ya simu! Unahitajika mzunguko mkubwa sana ili kuvuna chochote mwisho wa mwezi.

Anyway, tuvumilie tu. Maana hakuna namna.
Hahaaa!!hivi siku hizi commession zao ninaendaje?(ki asilimia)kwani kuna kipindi yaani ilikuwa miamala y a milioni moja, wanakupa kamisheni ya 15, 000!!!nikaona ujinga huo.
 
Hahaaa!!hivi siku hizi commession zao ninaendaje?(ki asilimia)kwani kuna kipindi yaani ilikuwa miamala y a milioni moja, wanakupa kamisheni ya 15, 000!!!nikaona ujinga huo.
Bado ni majanga tu! Tena siku hizi tunakatwa kodi 10% ya kindugai ndugai kwenye kamisheni yenyewe mbuzi! Matapeli ndiyo kwanza muda wote wanatuwinda! Sijui wana undugu na makampuni ya simu, polisi na tcra!! Maana hawakamatiki, na hawakomi!

Sasa jamaa anakuja kutuita tena wezi! Kwa sababu tu ya wakala mmoja wa huko kijijini kwake! Dah! Siyo mbaya.
 
Bado ni majanga tu! Tena siku hizi tunakatwa kodi 10% ya kindugai ndugai kwenye kamisheni yenyewe mbuzi! Matapeli ndiyo kwanza muda wote wanatuwinda! Sijui wana undugu na makampuni ya simu, polisi na tcra!! Maana hawakamatiki, na hawakomi!

Sasa jamaa anakuja kutuita tena wezi! Kwa sababu tu ya wakala mmoja wa huko kijijini kwake! Dah! Siyo mbaya.
Daaa!!mi ki ukweli ilinishinda, niliona nawafanyia tu wao, mtaji tembo, faida sungura!!!
 
ipo hivi kwenye biashara ya mpesa kuna faida ndogo sana tena sana.ili uingize hata elfu 5 kwa siku inatakiwa uwe na wateja weng sana (wengi sana)

sasa kuna hizi lain ziliundwa mahusus kwa kulipia bidhaa kama supermaket au sheli,(mteja akitoa pesa hakatwi inatoka kama ilivyo)

sasa mawakala wajanja tukaamua kuzinunua hizo till aina ya lipa kwa mpesa.

anakuja mteja anataka kutoa mfano elfu 10 ,ili itoke elfu 10 atakatwa sh 1600 alafu ww unapata kamishen kama sh 200 tu

sasa ukiwa na ile lipa kwa mpesa unamwambia aweke 11000 alafu ww unampa elfu 10 unabakiwa na buku yeye pia unamwachia 600 ambapo ukijumlisha inakuwa 1600 ya makato. sasa mteja akiona amekatwa elfu moja tu kesho atamwambia mwenzake watakuja wengi.

yaan kiufupi mteja akija kutoa namtolea kweny lipa inatoka kama ilivyo .yale makato ambayo mteja anakatwa hayaendi kweny kampuni nabaki nayo mimi alafu najiongeza nakupa na ww kidgo ili kesho urudi (technique ya biashara)

ila sasahivi naona voda wameshashtuka wanazifungia ila hela yako unaitoa.

baada ya lipa kufungwa fungwa tukahamia selcom,tukahamia tena mlipa sasahivi tunatafuta mbinu nyingine.UKITEGEMEA KAMISHENI YA VODA UTATOKA BARABARANI MAPEMA


TOFAUTI NA HAPO SIKUSHAURI UFUNGUE MPESA KAMA HUNA UJANJA UJANJA WA KUINGIZA PESA.

NB: NIMETOA HII SIRI YA KAMBI BAADA YA TILL ZA LIPA KUFUNGWA FUNGWA


SOMA VIZURI MAELEZO YANGU
Mlipa ndo inakuje??
 
ipo hivi kwenye biashara ya mpesa kuna faida ndogo sana tena sana.ili uingize hata elfu 5 kwa siku inatakiwa uwe na wateja weng sana (wengi sana)

sasa kuna hizi lain ziliundwa mahusus kwa kulipia bidhaa kama supermaket au sheli,(mteja akitoa pesa hakatwi inatoka kama ilivyo)

sasa mawakala wajanja tukaamua kuzinunua hizo till aina ya lipa kwa mpesa.

anakuja mteja anataka kutoa mfano elfu 10 ,ili itoke elfu 10 atakatwa sh 1600 alafu ww unapata kamishen kama sh 200 tu

sasa ukiwa na ile lipa kwa mpesa unamwambia aweke 11000 alafu ww unampa elfu 10 unabakiwa na buku yeye pia unamwachia 600 ambapo ukijumlisha inakuwa 1600 ya makato. sasa mteja akiona amekatwa elfu moja tu kesho atamwambia mwenzake watakuja wengi.

yaan kiufupi mteja akija kutoa namtolea kweny lipa inatoka kama ilivyo .yale makato ambayo mteja anakatwa hayaendi kweny kampuni nabaki nayo mimi alafu najiongeza nakupa na ww kidgo ili kesho urudi (technique ya biashara)

ila sasahivi naona voda wameshashtuka wanazifungia ila hela yako unaitoa.

baada ya lipa kufungwa fungwa tukahamia selcom,tukahamia tena mlipa sasahivi tunatafuta mbinu nyingine.UKITEGEMEA KAMISHENI YA VODA UTATOKA BARABARANI MAPEMA


TOFAUTI NA HAPO SIKUSHAURI UFUNGUE MPESA KAMA HUNA UJANJA UJANJA WA KUINGIZA PESA.

NB: NIMETOA HII SIRI YA KAMBI BAADA YA TILL ZA LIPA KUFUNGWA FUNGWA


SOMA VIZURI MAELEZO YANGU
For sure nimependa namna ulivyoelezea,..short, simple and clear thanks for that nimejifunza kitu kikubwa Sana aisee..May God bless you
 
Haijawahi tokea kamwe muamala mmoja ukalipwa kamisheni ya shilingi kumi na tano elfu,but all in all nawapa heshima kubwa sana makampuni yote ya simu kwani mchango wao kwetu sisi mawakala ni mkubwa sana,hivi uliisha wahi kujiuliza ni kwa nini baadhi ya mawakala mitaji yao mara nyingi haiongezeki?
 
Haijawahi tokea kamwe muamala mmoja ukalipwa kamisheni ya shilingi kumi na tano elfu,but all in all nawapa heshima kubwa sana makampuni yote ya simu kwani mchango wao kwetu sisi mawakala ni mkubwa sana,hivi uliisha wahi kujiuliza ni kwa nini baadhi ya mawakala mitaji yao mara nyingi haiongezeki?
Ni cz Gani kwani mkuu
 
Bado ni majanga tu! Tena siku hizi tunakatwa kodi 10% ya kindugai ndugai kwenye kamisheni yenyewe mbuzi! Matapeli ndiyo kwanza muda wote wanatuwinda! Sijui wana undugu na makampuni ya simu, polisi na tcra!! Maana hawakamatiki, na hawakomi!

Sasa jamaa anakuja kutuita tena wezi! Kwa sababu tu ya wakala mmoja wa huko kijijini kwake! Dah! Siyo mbaya.
Hivi kamisheni zake ni sawa na hizi za miamala za simu au za NMB zipo juu kidogo
 
Kwa mfano ww mtaji wako ni milioni Moja,unaweza pambana ukapata kamisheni shilingi 120k Kwa mwezi kitakachotokea unaichukua hiyo kamisheni na kuitumia yote na kubakiza mtaji wako lakini kama ungekuwa unarudisha kwa mfano moja ya tatu ya tatu kwenye mtaji wako hapo kweli mtaji ungeongezeka na wateja wangeongezeka pia,na jambo lingine kubwa ni matarajio ya huduma hiyo kwani mtu akiingia anakuta mambo sio lakini ki ukweli watu wanapiga pesa huku si utani
 
Kwa upande wa kamisheni kiasi fulani Zina tofauti kidogo sana kulingana na upande wa mabenki,
 
Kwa mfano ww mtaji wako ni milioni Moja,unaweza pambana ukapata kamisheni shilingi 120k Kwa mwezi kitakachotokea unaichukua hiyo kamisheni na kuitumia yote na kubakiza mtaji wako lakini kama ungekuwa unarudisha kwa mfano moja ya tatu ya tatu kwenye mtaji wako hapo kweli mtaji ungeongezeka na wateja wangeongezeka pia,na jambo lingine kubwa ni matarajio ya huduma hiyo kwani mtu akiingia anakuta mambo sio lakini ki ukweli watu wanapiga pesa huku si utani
Hapa umesema ukweli kabisa na hapa ndipo wateja wengi wanakosa Imani na mtoa huduma cz Kila mara wakija unakuta hela hawapati.
 
Back
Top Bottom