Recent content by Shayan Zeroplanet

  1. S

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Mwisho wa usharobaro ni majukumu
  2. S

    Hawa huwa wanamvuto sana, sema tu hawajijui......

    kichwa cha habar nilazima kiendane na habari yenyewe co unakua mjanja mjanja! Kama habari yako ni mbaya itakua mbaya2 and kama nzur ninzuri tu.
  3. S

    Ukiwa kama mjanja,.,.. HUU MSALA UNAUSOVU VP?

    MPENZI wako anakutembelea Home kwa kushtukiza. mfukoni Una Mia sita Tu, unaamua kumchukulia cocacola moja ili asione kama huna kitu. Alafu wewe unaamua kuchukua chupa ya Sprite unajaza maji, yeye unampa ile Coca we unakunywa zako maji kwenye ile chupa ya sprite (mpenzi wako anadhani...
  4. S

    Eti wakazi wa Kilimanjaro hutumia mifuko ya Rambo badala ya kondomu! Huu si uzushi wa hizi NGO?

    Aa wap moshi napo pameendelea xana huwezi niambia niwashamba hivi hatakama niwabahili aise!
  5. S

    Mama ajifungu mtoto na CHURA huko Mbeya

    Haiwezekani lazima kunautundu
  6. S

    Ubungo mwaka 2015

    Labda mwaka 3015
  7. S

    Inauma sanaaaa!!!!! Tanesco waondoka na uhai wa binti huyu huko mbeya,picha za eneo la tukio hizi

    Huu uzembe hata kwetu kimara suca upo, nyaya ziko chini sana hata mtoto anaweza kuzishika yani nihatari tupu. Wahusika sijui wako wap kuepusha matatizo kama hayo.
  8. S

    Swali kwa wapendanao tu!

    Yan hapo nitamdunda huyo jamaa aliechukua mke wangu, namke wangu asipofanya hivyo kwa dem wangu wapembeni, nae namuangushia kipigo nyumbani.
  9. S

    Anaomba ushaurii.... !!

    Duh emniambie ilo jini linakutokezea kama mtu then linakuingia kabisa au ni vip???
  10. S

    Unaweza kukubali kuishi huku juu?

    Sitapata usingizi mwaka mzima!!
  11. S

    Ninafuga nyoka jamani mnasemaje?

    Duh mbona kama ana miziz vile!
Back
Top Bottom